Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Inaonekana umezaliwa muislamu ila uislamu huna, dini hizo mbili haziingiliani kwenye Ibada, na ndo maana wewe kutokuelewa dini Yako kukakufanya uende huko, je kwa mujibu wa dini Yako hayo wanayofanya kwenye kipaimara ni Sahihi?
 
Ulitaka waislamu wenzio waje hapa kuku laani kwa kuhudhuria sherehe za wa kristo 🙄 kwani ujui kuwa hata shoga kiislamu liki dinywa na mkristo waislamu ulalama hapa jf ..kwanini shoga letu limedinya na makafiri wakati sisi waislamu tupo ....kumbuka ya harmonize majuzi...watasema wakristo mnatuchokoza kwa kutuchukulia choko letu la kiislamu.
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
 
Ungesubiri ualikwe, ila waliokufukuza nao wana makosa, wangekuacha tu upige msosi uondoke. Na kama ni njaa ilikupeleka!
 
Kama
Ulitaka waislamu wenzio waje hapa kuku laani kwa kuhudhuria sherehe za wa kristo 🙄 kwani ujui kuwa hata shoga kiislamu liki dinywa na mkristo waislamu ulalama hapa jf ..kwanini shoga letu limedinya na makafiri wakati sisi waislamu tupo ....kumbuka ya harmonize majuzi...watasema wakristo mnatuchokoza kwa kutuchukulia choko letu la kiislamu.
Wewe ulivyodinywa salamander tower karibu na ofisi za GSM
 
Wamekuokoa maana ni haram kuhudhuria sehemu hizo
 
Back
Top Bottom