Wapi waislamu wanabaguliwa?Mimi ni mkristo na hilo la nyanda juu kusini sikupingi,nipo huku now naona,japo inawezekana kutokana na wingi wa wakristo na uchache wa waislam!!!
Nikushauri. Siku nyingine usifikirie kabisa kwenda kwenye sherehe zao. Hata wakikuarika we kataa mpaka ujiridhishe wameacha ubaguzi.Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?
Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Vipi,ulikuwa umeshakula ubwabwa au ratiba haikuwa poa?Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?
Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Kabisa.. Ukristu umefundisha kuwapenda walio tofauti na sisi hata kama wanatuudhi.Eyce, Uko sahihi sana Mkuu.
Wakristu tumefunzwa ukarimu na kupenda watu wote bila kujali imani zao!
Tokea lini??wakatoliki ambao ndio wakristu Halisi na Original
Zamani kidogo ulikuwa ukishushuliwa hivi basi vijana walio pembezoni na wewe utasikia wanaitikia hivi .Acha tabia yako mbaya ya uongo na uzushi. Kwenye sherehe za Kikristo hakuna ubaguzi wa aina hiyo. Wewe sema tu hukuwa mgeni mualikwa/hiyo kadi ilikuwa ni ya kughushi
Walikuheshimu sana vinginevyo ungekwazika kwa mlo wa kitimotoTukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?
Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
mbona mimi naingia mpaka kanisani kabisa hakuna hata anayeniuliza na wote wanajua mie ni muislamuTukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?
Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Ninyi hamna ubaguzi?Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?
Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Basi tutumie neno ubinafsi,kama ubaguzi limekaa vibaya,na huku nyanda za juu kote(mufindi Kwa sasa) Wana hicho kitu,sio udini TU hata ukabila Yaani wanakaza sana Kwa watu wageni!!!Wapi waislamu wanabaguliwa?
Achane uchochezi wa kiimani