Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Ndiye mchezaji pekee anayejituma sana hapa Yanga. Na Aziz Ki naye anajitahidi. Ila michezaji ya ndani imezubaa sana. Huoni hata ikiumia tunapopoteza points.
Nimependa Hersi jinsi ambavyo amepiga simu na kumuweka loud speaker Mayele akimtaka kesho kutupatia magoli. Mayele amesisitiza atatetema bila shaka. Na mashabiki wamesikia.
Yale matopolo mengine yajifunze kujituma. Heshima anayopata Mayele iwafundishe kuwa wanapaswa kujitoa mhanga kupambana. Wasiwe wanatembelea nyota ya mwenzao.
Nimependa Hersi jinsi ambavyo amepiga simu na kumuweka loud speaker Mayele akimtaka kesho kutupatia magoli. Mayele amesisitiza atatetema bila shaka. Na mashabiki wamesikia.
Yale matopolo mengine yajifunze kujituma. Heshima anayopata Mayele iwafundishe kuwa wanapaswa kujitoa mhanga kupambana. Wasiwe wanatembelea nyota ya mwenzao.