Nimefurahi kukutana na Gentamycine

Nimefurahi kukutana na Gentamycine

Mkuu na huyu anajiita Rapa Gentamycine ni ID yako pia?
Huyo anayejiita Rapa Gentamycine siyo Mimi kabisa na aliianzisha hiyo ID Kimkakati ili Kuifunika hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE kwakuwa Kipindi hicho anaianzisha nilikuwa ni Mmoja wa 'Critics' wakubwa wa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati huo Paul Makonda ila bado alifeli.

Ni rahisi mno Kuiga ID yangu ila Kuiga Madini yangu ( Akili yangu ) Kubwa, Ubunifu wangu, Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala na Hoja hapa JamiiForums ni Ngumu sana na GENTAMYCINE nitabaki kuwa Mmoja tu japo pia nafurahi Watu Kuniiga kwani nina Tunu ( Shani ) ya Kipekee niliyopewa nae Mola ( Maulana ) wengine hawana hivyo wanaipenda.

Hilo neno la Rapa hapo katika hiyo ID ameliweka baada ya Mimi siku moja kusema kuwa ninampenda sana Mghani ( Rapper ) Wakongo wanawaita 'Atalaku' wa Bendi yangu Kipenzi ya Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Jina lake halisi ni Pitshou Lisimo ) ndipo nae haraka haraka akaianzisha hiyo ID na kutanguliza hilo neno la Rapa.

Wataniiga ila hawatanipatia. Nimebarikiwa!
 
Hicho kipindi anacho jidai kujiulizia kuwa alipotea ndo kipind alifungua hii I'd ya aug 3 na akawa anaitumiatumia ili siku akija kujiulizia isionekane ni I'd mpya kwahiyo ya zamani ndo hiyo aliyo sema anafurahi kuiona imerudi
Kuna faida yoyote memba anapata kwa kufanya hivi?

...
 
Haya Mtumaini Mungu Kazi imeshaanza.
Huyo mtumaini mungu sio wewe, kwanza huyo hayupo kabisa kwenye angle ya mpira, yeye ni mtu wa dini hana interest na siasa kama wewe, kwa kweli kwa hili naungana na wewe hapa unasingiziwa tu.

Ila kunaye yule marieta, anapenda mpira, anaipenda simba kama wewe, anapenda kujitaja taja Id yake kila anapoandika kama wewe, anaipenda ccm kama wewe, hata akiambiwa kua yeye ni wewe mara nyingi amekua aki respond kama wewe.
 
Huyo mtumaini mungu sio wewe, kwanza huyo hayupo kabisa kwenye angle ya mpira, yeye ni mtu wa dini hana interest na siasa kama wewe, kwa kweli kwa hili naungana na wewe hapa unasingiziwa tu.

Ila kunaye yule marieta, anapenda mpira, anaipenda simba kama wewe, anapenda kujitaja taja Id yake kila anapoandika kama wewe, anaipenda ccm kama wewe, hata akiambiwa kua yeye ni wewe mara nyingi amekua aki respond kama wewe.
Haya Mtumaini Mungu Kazi imeshaanza.
 
Huyo anayejiita Rapa Gentamycine siyo Mimi kabisa na aliianzisha hiyo ID Kimkakati ili Kuifunika hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE kwakuwa Kipindi hicho anaianzisha nilikuwa ni Mmoja wa 'Critics' wakubwa wa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati huo Paul Makonda ila bado alifeli.

Ni rahisi mno Kuiga ID yangu ila Kuiga Madini yangu ( Akili yangu ) Kubwa, Ubunifu wangu, Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala na Hoja hapa JamiiForums ni Ngumu sana na GENTAMYCINE nitabaki kuwa Mmoja tu japo pia nafurahi Watu Kuniiga kwani nina Tunu ( Shani ) ya Kipekee niliyopewa nae Mola ( Maulana ) wengine hawana hivyo wanaipenda.

Hilo neno la Rapa hapo katika hiyo ID ameliweka baada ya Mimi siku moja kusema kuwa ninampenda sana Mghani ( Rapper ) Wakongo wanawaita 'Atalaku' wa Bendi yangu Kipenzi ya Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Jina lake halisi ni Pitshou Lisimo ) ndipo nae haraka haraka akaianzisha hiyo ID na kutanguliza hilo neno la Rapa.

Wataniiga ila hawatanipatia. Nimebarikiwa!
Nakukubali sana
 
Ni Matumaini yangu makubwa kuwa umeshajiandaa Kisaikolojia kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi Mwenyewe na hapa nimejianzishia Uzi kwa kutaka Sifa na 'Fame' zaidi JamiiForums.

Ukitaka Uzi wako Uchangiwe kwa Kasi na haraka Siku nyingine anzisha Uzi wa Kunisema na Kunichafua ila kwa huu wa Kunipongeza nakuhakikishia kuwa utaenda Kudoda ( Kukudodea ) tu.

Asante kwa Kuiona Tunu yangu Mkuu. Na huwezi Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama GENTAMYCINE halafu usichukiwe na usiwe Midomoni mwa Watu.

Shukran Mungu kwa Kuniumba tu hivi.
Ungezugazuga kidogo yani on time una login kivingne fasta na kujijibu
 
Yani unajitia dole mwenyewe alafu unageuka nyuma unashtuka
 
Hujakosea sina Kazi ya Kufanya kwani hata hili Bando la kuwa hapa JamiiForums huwa unaniwekea Wewe.

Ni kweli Sina Kazi ya Kufanya kwani hata Kula yangu ya Kutwa nzima Wewe ndiyo huwa unanipa Pesa ya Kula.

Ni kweli kabisa sina Kazi ya Kufanya ndiyo maana Watu wote wenye Kazi zenu ( Wewe ukiwemo ) Kutwa hamuachi Kufungua Threads zangu na Kupoteza muda wenu Kuzisoma na hadi kupata muda wa Kunijibu wakati mnatakiwa kuwa busy na Kazi.

Na wala si tu kwamba sina Kazi nakuongezea lingine kuwa GENTAMYCINE ndiyo JF Member Masikini wa Kipato na ana Maisha Magumu kuliko nyote mliopo hapa.

Ni kweli kuwa sina Kazi kwani huyo huyo Mwenyezi Mungu aliyekupa Wewe hiyo Kazi ndiyo ameninyima ila amenibariki na Akili nyingi ambazo pamoja na kukupa Wewe Kazi hiyo ila aliuacha Upumbavu mkubwa ulionao ili uzidi Kujidhihirisha Kwetu hivi.

Ukifungua Kampuni yako naomba Ajira.
🤣🤣
 
Tumshukuru Mungu kwa pumzi hii na riziki anazotupatia.

Mnamo tarehe 28 September niliweka Uzi hapa JF nikimuulizia na kumtafuta mwanachama maarufu Bw. GENTAMYCINE ambaye happy awali sikuwahi kumfahamu kwa lolote lakini namna alivyoongelewa na wanajukwaa ikanibidi nitie muhuri katika ulimwengu wa roho na kuanza Kumtafuta, Namshukuru Sana Mungu kwani ni Mwema kila wakati Amenijibu na hatimaye jana nimeona comment ya huyu ndugu popoma.

Kaka popoma nimefurahishwa Sana na ujio wako wa mara ya pili hapa jukwaani, ni imani yangu utakuwa mstari wa mbele kutema madini "Heavy" ili "kuwafunda" vijana, Mimi pia niko mstari wa mbele kujifunza toka kwako.

Ubarikiwe sana ndugu yetu popoma, Nakukubali.

Nimecheka kinoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni Matumaini yangu makubwa kuwa umeshajiandaa Kisaikolojia kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi Mwenyewe na hapa nimejianzishia Uzi kwa kutaka Sifa na 'Fame' zaidi JamiiForums.

Ukitaka Uzi wako Uchangiwe kwa Kasi na haraka Siku nyingine anzisha Uzi wa Kunisema na Kunichafua ila kwa huu wa Kunipongeza nakuhakikishia kuwa utaenda Kudoda ( Kukudodea ) tu.

Asante kwa Kuiona Tunu yangu Mkuu. Na huwezi Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama GENTAMYCINE halafu usichukiwe na usiwe Midomoni mwa Watu.

Shukran Mungu kwa Kuniumba tu hivi.
Ni summarizes kwa kusema We jamaa unapenda sifa
 
Back
Top Bottom