Nimefurahi sana Ali Kamwe na Ahmed Allli kutaka kushitakiwa,waligeuza soccer kuwa mchezo wa kijinga,vyeo vyao vifutwe

Nimefurahi sana Ali Kamwe na Ahmed Allli kutaka kushitakiwa,waligeuza soccer kuwa mchezo wa kijinga,vyeo vyao vifutwe

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huu ujinga aliuanza Haji Manara,badala ya Simba na yanga kuwa watani wa jadi wakawa na chuki ya jadi.

Hawa watoto nao badala ya kuja kivingine wakawa wanapita mule mule alipopita Haji.

Sasa nasikia Alli kamwe Azam nao wanataka bilioni 10 kwa kauli yake kuwa Dube kila akikaribia goli wanazima taa,hii ni kuchafua brand ya uwanja.

Kwa upande wangu vyeo vyao vifutwe au majukumu(responsibilities) yao yabadilishwe

Mbona huko kwa wenzetu


makocha ndio wasemaji.
Waache ujinga
 
Kwani ukinilipsha 3b namimi nikakulipisha 10b, nani anapaswa kua amemulipa mwenzie 😂😂😂
 
Haya mashitaka yawe serious ili kuondoa huu upumbavu. Inakuwa kama mtu amevuta dawa za kulevya ndio anashika mic
Hawako professional kabisa,yaani wanacheza mpira mdomoni ,sahihi,hata mimi nitafurahi mashitaka yao yakiwa serious
 
Huu ujinga aliuanza Haji Manara,badala ya Simba na yanga kuwa watani wa jadi wakawa na chuki ya jadi.

Hawa watoto nao badala ya kuja kivingine wakawa wanapita mule mule alipopita Haji.

Sasa nasikia Alli kamwe Azam nao wanataka bilioni 10 kwa kauli yake kuwa Dube kila akikaribia goli wanazima taa,hii ni kuchafua brand ya uwanja.

Kwa upande wangu vyeo vyao vifutwe au majukumu(responsibilities) yao yabadilishwe

Mbona huko kwa wenzetu


makocha ndio wasemaji.
Waache ujinga
Naunga mkono hoja,wasemaji wamekuwa kama waimba taarabu mipasho mwanzo mwisho. Wawekewe mipaka ya kuongea mipasho wawaachie washabiki kwenye vijiwe vya kahawa. Na pia hata vyombo vya habari hasa hizi Online TV zipigwe marufuku kurusha mahojiano ya watu ambao siyo wasemaji rasmi wa vilabu, sasa imekuwa ni fujo kila mtu akishiba kande zake anataka kupumua habari za Simba na Yanga tumewachoka.
 
Hivi EPL kuna hivi vyeo vya usemaji?
Hakuna huu ujinga na hata kana hicho cheo kipo ni kama ilivyo afisa habari wa mitandao ya simu au benki,umewahi kusikia afisa habari wa Vodacom au NMB anaropoka ropoka
 
Leo ahmed ally kupitia kituo cha wasafi amesema hataacha kuwapiga spana yanga na tena atatumia maneno makali na mazito na hakuna wa kumnyamazisha.
Mpira unachezwa mdomoni
 
Hakuna huu ujinga na hata kana hicho cheo kipo ni kama ilivyo afisa habari wa mitandao ya simu au benki,umewahi kusikia afisa habari wa Vodacom au NMB anaropoka ropoka
Wabongo tunapenda sana ujinga ujinga, yaani mechi imeisha ila watu wanasubiri msemaji atasema nini...
 
Wakati wa majira ya joto,kipindi league imeisha kulitungwa sheria kuwa wataadhibiwa wasemaji wa vilabu wachekeshaji, je hy adhabu ipo au imefutwa?
 
Wakati wa majira ya joto,kipindi league imeisha kulitungwa sheria kuwa wataadhibiwa wasemaji wa vilabu wachekeshaji, je hy adhabu ipo au imefutwa?
Hii move ya jupelekana mahakamani ndio nzuri,mtu alipe hata mioni 100 tu akili ziwakae sawa
 
yule mzungu ndo alianzishaga haya maussenge
 
Back
Top Bottom