Nimefurahi sana kuhudhuria Graduation ya darasa la saba Kayumba

Nimefurahi sana kuhudhuria Graduation ya darasa la saba Kayumba

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Leo nimeenda kijijini kwetu " Ilala Rural" nikapata nafasi ya kuhudhuria Grafuation ya darasa la saba Shule ya Kayumba.

Darasa lina mikondo 7 kila mkondo una wanafunzi 70 jumla wanafunzi 490. Kulikuwa na vibe la hatari.

I liked what I see. I liked the energy which was at the school environment.

Wazazi kama wote. Waageni waalikwa kama wote. Nimepata na kamchuchu kalikuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Ka mwaka 2006 kanasoma Chuo cha kati. Nimekapenda kwa sababu kana toka jasho kwenye pua. Wasichana wanao toka jasho puani wanakuwaga na mapenzi ya ukweli halafu huwaga Nina nyota nao, so I thank the universe na Mimi nitaenda " KUKAONJAMO"

Anyway kulikuwa na a very positive energy kwenye hiyo shule. Yani mwalimu mkuu akisema" La Saba Oyee" Hizo sauti zinazo itikia kwa bashasha na kwa wingi yani hadi raha. I want my children to be around this kind of energy. This life is all about energy. The currency in the realm of the spirits is " energy ". The positive the energy the higher the value..

Graduation za shule EMs sasa . Msiba una nafuu.

Darasa lina wanafunzi 16, hiyo vibe itatoka wapi.

Haya haraka sana, toa watoto wako EMs haraka sana warudishe Kayumba . Sasa hivi!!!!
 
Leo nimeenda kijijini kwetu " Ilala Rural" nikapata nafasi ya kuhudhuria Grafuation ya darasa la saba Shule ya Kayumba.

Darasa lina mikondo 7 kila mkondo una wanafunzi 70 jumla wanafunzi 490. Kulikuwa na vibe la hatari.

I liked what I see. I liked the energy which was at the school environment.

Wazazi kama wote. Waageni waalikwa kama wote. Nimepata na kamchuchu kalikuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Ka mwaka 2006 kanasoma Chuo cha kati. Nimekapenda kwa sababu kana toka jasho kwenye pua. Wasichana wanao toka jasho puani wanakuwaga na mapenzi ya ukweli halafu huwaga Nina nyota nao, so I thank the universe na Mimi nitaenda " KUKAONJAMO"

Anyway kulikuwa na a very positive energy kwenye hiyo shule. Yani mwalimu mkuu akisema" La Saba Oyee" Hizo sauti zinazo itikia kwa bashasha na kwa wingi yani hadi raha. I want my children to be around this kind of energy. This life is all about energy. The currency in the realm of the spirits is " energy ". The positive the energy the higher the value..

Graduation za shule EMs sasa . Msiba una nafuu.

Darasa lina wanafunzi 16, hiyo vibe itatoka wapi.

Haya haraka sana, toa watoto wako EMs haraka sana warudishe Kayumba . Sasa hivi!!!!
Umaskini ni laana.
Oneni kama huyu jinsi alivyo na mawazo ya kijinga.
 
We jamaa 😄😄... sema hata mimi huwa napenda kupita Kayumba School mida ya mapumziko na kupara burudani ya michezo mingi isiyo na idadi toka kwa watoto. Ukikaa kwenye kona flani na kutazama wanavyocheza utafurahi sana... wana furaha kupindukia
Sana aisee.

Maisha ni furaha. Watoto wanahitaji kufurahia zaidi kuliko kitu kingine chochote. Tusiwanyime watoto wetu furaha
 
Leo nimeenda kijijini kwetu " Ilala Rural" nikapata nafasi ya kuhudhuria Grafuation ya darasa la saba Shule ya Kayumba.

Darasa lina mikondo 7 kila mkondo una wanafunzi 70 jumla wanafunzi 490. Kulikuwa na vibe la hatari.

I liked what I see. I liked the energy which was at the school environment.

Wazazi kama wote. Waageni waalikwa kama wote. Nimepata na kamchuchu kalikuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Ka mwaka 2006 kanasoma Chuo cha kati. Nimekapenda kwa sababu kana toka jasho kwenye pua. Wasichana wanao toka jasho puani wanakuwaga na mapenzi ya ukweli halafu huwaga Nina nyota nao, so I thank the universe na Mimi nitaenda " KUKAONJAMO"

Anyway kulikuwa na a very positive energy kwenye hiyo shule. Yani mwalimu mkuu akisema" La Saba Oyee" Hizo sauti zinazo itikia kwa bashasha na kwa wingi yani hadi raha. I want my children to be around this kind of energy. This life is all about energy. The currency in the realm of the spirits is " energy ". The positive the energy the higher the value..

Graduation za shule EMs sasa . Msiba una nafuu.

Darasa lina wanafunzi 16, hiyo vibe itatoka wapi.

Haya haraka sana, toa watoto wako EMs haraka sana warudishe Kayumba . Sasa hivi!!!!
Graduation za Kayumba huwaga zina happen sana aisee mkuu
 
We jamaa 😄😄... sema hata mimi huwa napenda kupita Kayumba School mida ya mapumziko na kupara burudani ya michezo mingi isiyo na idadi toka kwa watoto. Ukikaa kwenye kona flani na kutazama wanavyocheza utafurahi sana... wana furaha kupindukia
Watoto wanao soma Kayumba wana enjoy sana maisha yao ya utoto.
 
Sana aisee.

Maisha ni furaha. Watoto wanahitaji kufurahia zaidi kuliko kitu kingine chochote. Tusiwanyime watoto wetu furaha
Kweli mkuu. Hizi Medium peleka mtoto ukiwa na mpunga wa kueleweka. Kuna zile medium watoto wanajazwa kwenye Noah kama vile mifugo zinaboa kinyama. Pia medium nyingi zina maeneo madogo ya kuchezea watoto.
 
Back
Top Bottom