Nimefurahi sana kuhudhuria Graduation ya darasa la saba Kayumba

Nimefurahi sana kuhudhuria Graduation ya darasa la saba Kayumba

Kweli mkuu. Hizi Medium peleka mtoto ukiwa na mpunga wa kueleweka. Kuna zile medium watoto wanajazwa kwenye Noah kama vile mifugo zinaboa kinyama. Pia medium nyingi zina maeneo madogo ya kuchezea watoto.
100% Fact
 
Mungu awasaidie wasiishie kuwa polisi.

Miongoni mwao tupate matajiri, Wanasiasa, madaktari, ma Injinia, na wengineo wa maana.

Wewe una ugomvi na private schools, badala ungekuwa na ugomvi na serikali ungeisisitiza serikali iboreshe mazingira ya hizo primary schools na input yake ili tupate output bora.
 
Kwamba Mimi ndîo sijui kingereza, au nimesoma Kayumba au ndiye niliyeandika Huko Jukwaa la Ajira?
Hivi kwani kujua kingereza ndo kusoma mbona mi najua alafu wala hayo madarasa sijui yakoje tena ikiwezekana nawapita hao wa inteneshino wenu wengi tu kuna mwenzenu ana mteja wake yuko Us,kila akitaka kuwasiliana nae ananitafuta niongee nae sasa naomba muondoe dhana kwamba rugha ni kusoma kama hamtaki endeleeni kuinjoi ujinga.
 
Hivi kwani kujua kingereza ndo kusoma mbona mi najua alafu wala hayo madarasa sijui yakoje tena ikiwezekana nawapita hao wa inteneshino wenu wengi tu kuna mwenzenu ana mteja wake yuko Us,kila akitaka kuwasiliana nae ananitafuta niongee nae sasa naomba muondoe dhana kwamba rugha ni kusoma kama hamtaki endeleeni kuinjoi ujinga.

Sasa alimalizaje degree kama hajui kingereza Wakati kozi zilikuwa Kwa kingereza?
 
Hivi kwani kujua kingereza ndo kusoma mbona mi najua alafu wala hayo madarasa sijui yakoje tena ikiwezekana nawapita hao wa inteneshino wenu wengi tu kuna mwenzenu ana mteja wake yuko Us,kila akitaka kuwasiliana nae ananitafuta niongee nae sasa naomba muondoe dhana kwamba rugha ni kusoma kama hamtaki endeleeni kuinjoi ujinga.
100% Fact
 
Mungu awasaidie wasiishie kuwa polisi.

Miongoni mwao tupate matajiri, Wanasiasa, madaktari, ma Injinia, na wengineo wa maana.

Wewe una ugomvi na private schools, badala ungekuwa na ugomvi na serikali ungeisisitiza serikali iboreshe mazingira ya hizo primary schools na input yake ili tupate output bora.
Elimu haipaswi kuwa biashara. Elimu inapaswa kuwa huduma
 
Umaskini ni laana.
Oneni kama huyu jinsi alivyo na mawazo ya kijinga.
Bora huyu kuliko wewe unayeshauri watumishi wa umma wanyimwe mishahara yao kwa sababu ya kujiendeleza kimasomo.

Hiyo ndo tabia halisi ya masikini kuanzia mfukoni hadi kichwani. Ni kama wale wa kuitwa wanyonge waliokuwa wakishangilia kuona watu wametumbuliwa tu.
 
Leo nimeenda kijijini kwetu " Ilala Rural" nikapata nafasi ya kuhudhuria Grafuation ya darasa la saba Shule ya Kayumba.

Darasa lina mikondo 7 kila mkondo una wanafunzi 70 jumla wanafunzi 490. Kulikuwa na vibe la hatari.

I liked what I see. I liked the energy which was at the school environment.

Wazazi kama wote. Waageni waalikwa kama wote. Nimepata na kamchuchu kalikuwa miongoni mwa wageni waalikwa. Ka mwaka 2006 kanasoma Chuo cha kati. Nimekapenda kwa sababu kana toka jasho kwenye pua. Wasichana wanao toka jasho puani wanakuwaga na mapenzi ya ukweli halafu huwaga Nina nyota nao, so I thank the universe na Mimi nitaenda " KUKAONJAMO"

Anyway kulikuwa na a very positive energy kwenye hiyo shule. Yani mwalimu mkuu akisema" La Saba Oyee" Hizo sauti zinazo itikia kwa bashasha na kwa wingi yani hadi raha. I want my children to be around this kind of energy. This life is all about energy. The currency in the realm of the spirits is " energy ". The positive the energy the higher the value..

Graduation za shule EMs sasa . Msiba una nafuu.

Darasa lina wanafunzi 16, hiyo vibe itatoka wapi.

Haya haraka sana, toa watoto wako EMs haraka sana warudishe Kayumba . Sasa hivi!!!!
Darasa ama gharasa
490
 
Back
Top Bottom