Nimefurahi sana kukutana na 'Makomandoo' wa Chuoni Kiharaka Mapinga Bagamoyo wakiwa Wanafanya mazoezi yao Barabarani Mbweni

Kwaresma na mwezi mtufukufu vyote vimekutana ila Genta na tukanauone ni wale wale shida ni wakuu
 
Bila kapicha? batili huu uzi🀣 🀣 🀣
 
Kila siku uchokozwe wewe utakua na shida mahali!
 
Mtu kaleta uzi wake humu
Watu wanatokea kila kona wanamshambulia...
Duh mwanangu genta una wapinzani wengi πŸ˜„

Ova
 
oscar one!!
 
Ukosoma ulichoandika utajiona wewe na komwe lakoπŸ˜€πŸ˜€
 
Mwanetu NAE kuna siku akiamka zimecharge anaandika point, kuna siku akiamka sijui anatuonaje ni kama anatupanga,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ni jambo jema sana hongera kwao. Ila pia wajiongeze sana kwenye angle za digital.
 
Haahaahaa mkuu vita vya kisasa watu wanarusha drones, hivyo vifua hata gorrilas wanavyo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…