Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
- Thread starter
-
- #21
Itoshe kusema kwasasa nimefurahi hawajateuliwa..Unajisikia afadhali kwa jambo la kijinga kabisa. Ila unawakilisha watanzania wengi. I mean watanzania wengi wana hulka kama yako na ndiyo maana wanasiasa wanaendelea kutuchezea. Wengi wameshasau uchaguzi ulivyokuwa wa kihuni na wameshamia kwenye mambo ya uteuzi na kufurahia. BTW hao watu wanaweza kuja kuteiliwa muda wowote. Utafanya nini?
Dorothy Gwajima na mchungaji Gwajima kwani ni ndugu ?Hapo na 1, gwajiboy kakosa lakini gwajigirl yumo. Hata hivyo, ni suala la muda tu. wote hao wataukwaa uwaziri tu ndani ya miezi 60 ijayo.
Wivu wa kimaskini!
Hao jamaa ni kweli hawafai kabisa kabisa kama kinyesi. Ni matapeli na laghai kabisa. Lakini jambo la kusikitisha ni kuwa hata huo ubunge wamepata kwa uhuni wa Magufuli na hawakutakiwa kabisa kuupata. Ndiyo maana sioni mantiki ya kufurahia.Itoshe kusema kwasasa nimefurahi hawajateuliwa..
Mbona unauliza Mambo ambayo hayapo!?
Umeongea iliyo tabia ya watanzania wengi, hongera kwa kuwakilisha vema mkuu. Ila ni tabia ya kimasikini balaa, ukiweza jitahidi uiache coz itakufanya uzidi kuwa masikini.(hopefully you're not materially poor)Pamoja na kwamba hata hao waliopata hawawezi kunisaidia chochote hence kila kitu kinaamriwa kutoka huko "juu"
Na kuwa wapo tu kutimiza takwa la kikatiba, ila sote tulishuhudia nchi ilikwenda tu fresh Bila wao....
Heri maskini wa roho!Umeongea iliyo tabia ya watanzania wengi, hongera kwa kuwakilisha vema mkuu. Ila ni tabia ya kimasikini balaa, ukiweza jitahidi uiache coz itakufanya uzidi kuwa masikini.(hopefully you're not materially poor)
Jimbo la stareheKwani Makonda ni mbuge wa wapi?
Chuki ni mbaya sana mkuu,isitoshe wote unaoshindana nao wanakuzidi maisha kwa mbaliPamoja na kwamba hata hao waliopata hawawezi kunisaidia chochote hence kila kitu kinaamriwa kutoka huko "juu"
Na kuwa wapo tu kutimiza takwa la kikatiba, ila sote tulishuhudia nchi ilikwenda tu fresh Bila wao....
Hajazungumzia maisha yake, amesema nafsi yakeKwa hao kukosa uwaziri maisha yako yataboreka?
Ok tajiriWivu wa kimaskini!
Sijui, ila huenda sio ndugu maana huyu Dorothy anaonekana upstairs yupo vizuri ukilinganisha na mla kondoo.Dorothy Gwajima na mchungaji Gwajima kwani ni ndugu ?
Hizo chuki zako tu binafsiPamoja na kwamba hata hao waliopata hawawezi kunisaidia chochote hence kila kitu kinaamriwa kutoka huko "juu"
Na kuwa wapo tu kutimiza takwa la kikatiba, ila sote tulishuhudia nchi ilikwenda tu fresh Bila wao....
Kigwa ni shida na ze tunguliHK analewa madaraka ndo raha yake, ila waliomba ajira ya ubunge koo acha watumikie wananchi wao na si uwaziri
Mzee wa pikipiki!Kigwa ni shida na ze tunguliView attachment 1643359