Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Nimefurahishwa na Kitendo cha Ntobi kuvuliwa Uongozi, lakini hayuko Peke yake, kama Sheria ni msumeno basi kuna Wanaofuatia

Nahisi Ntobi ni chambo tu ila anatafutwa Lissu au Heche. Siasa hainaga aibu.
 
Nakumbuka pia kuwa Ntobi aliwahi kuomba msamaha. Hii inaonekana ni watu kujipanga vizuri ili wasisahauliwe katika ufalme unaokuja.

Amandla...
 
Mbona wanatukana kila mahali, au huna macho?
Pole sana Mangi

Kwa kukusaidia Taasisi yoyote huwa unahitaji kuji brand kila baada ya muda ili ije na mwelekeo tofauti. Mara nyingi katika macho ya Watumiaji ( consumers) ni lazima uje na mkakati tofauti hata wa kimuonekano. Angalia Coca-cola, Pepsi, Safari Lager, Timu yako pendwa ya Simba wote hao wameshafanya branding ili kuvutia Watumiaji na wateja. CHADEMA ya 2025 sio CHADEMA ya 2015 au 2010. Ni lazima kujiuliza maswali magumu na kuangalia where did they go wrong. Wakiweza kutambua hilo basi ni lazima waje na mikakati kuwa win Washabiki na Wapenzi wapya. Huwezi kupambana na CCM Kwa mikakati Ile Ile ya tangu 1992 na watu wale wale waliofeli. Unless mnataka kutuambia CHADEMA nacho ni kikundi Cha maslahi ya wachache chenye malengo Maalumu lakini kama kweli ni Chama chenye malengo ya kuwapigania Watanzania basi lazima kubadili mikakati ikiwemo kubadili Viongozi.

Kijana anayetegemewa kupiga kura Mwaka huu 2025 Mwaka 2015 alikuwa mtoto mdogo wa miaka 8 tuu, Leo unamshawishije Kwa kuwa na Sera na Viongozi wanaoimba Yale Yale wanayoimba CCM? Why aje CHADEMA? Inampatia alternatives zipi kama Viongozi tuu hawana alternatives kazini mwao?
 
Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.

Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .

Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.

Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.

Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?

Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.

Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.

Mungu Ibariki Chadema.
Ok, kumbe lengo ni kumfyeka Lissu.
 
Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.

Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .

Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.

Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.

Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?

Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.

Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.

Mungu Ibariki Chadema.
Ila ni vyema tukafahamu yanayowahusu watuhumiwa kwani kipindi hiki ni rahisi kutumika vibaya kwa manufaa ya upande unaomuunga mkono mgombea fulani,ama adui kutumia upenyo huu kwa nguvu ya fedha ama ushawishi kufikia malengo yake.Hivyo ni muda wa kukaguana na kuchukuliana hatua kwa muda unaoleta afya ndani ya chama.
 
Pole sana Mangi

Kwa kukusaidia Taasisi yoyote huwa unahitaji kuji brand kila baada ya muda ili ije na mwelekeo tofauti. Mara nyingi katika macho ya Watumiaji ( consumers) ni lazima uje na mkakati tofauti hata wa kimuonekano. Angalia Coca-cola, Pepsi, Safari Lager, Timu yako pendwa ya Simba wote hao wameshafanya branding ili kuvutia Watumiaji na wateja. CHADEMA ya 2025 sio CHADEMA ya 2015 au 2010. Ni lazima kujiuliza maswali magumu na kuangalia where did they go wrong. Wakiweza kutambua hilo basi ni lazima waje na mikakati kuwa win Washabiki na Wapenzi wapya. Huwezi kupambana na CCM Kwa mikakati Ile Ile ya tangu 1992 na watu wale wale waliofeli. Unless mnataka kutuambia CHADEMA nacho ni kikundi Cha maslahi ya wachache chenye malengo Maalumu lakini kama kweli ni Chama chenye malengo ya kuwapigania Watanzania basi lazima kubadili mikakati ikiwemo kubadili Viongozi.

Kijana anayetegemewa kupiga kura Mwaka huu 2025 Mwaka 2015 alikuwa mtoto mdogo wa miaka 8 tuu, Leo unamshawishije Kwa kuwa na Sera na Viongozi wanaoimba Yale Yale wanayoimba CCM? Why aje CHADEMA? Inampatia alternatives zipi kama Viongozi tuu hawana alternatives kazini mwao?
Hoja yako ni ipi?
 
Team Lisu wote wahuni, wangefukuzwa wakaanzishe umoja wa waliofukuzwa chadema.
 
Njmegundua hata mtoa hoja na wewe ni mnafiki tu yaani kidagaa Ntobi kimefutwa uongozi halafu TAL mnakuja kumfukuza uananchama. Kweli siasa za Kiafrika ni kuthamini matumbo yenu tu.

TAL anaundiwa ZENGWE aisee siasa za Kiafrika ni kichefuchefu sana. 😏😏😏
Hapana,
Siyo Mnafiki!
Mimi sikutoa mada.
 
Nilionya Mapema kwamba ni vema hawa wanaoropoka na kutukana Wagombea wengine, Waitwe, Waonywe na wasamehewe.

Lengo la ombi langu hilo ilikuwa kuepusha mkanganyiko na kudumisha Umoja na Mshikamano, Kwa sababu Kuna maisha baada ya Uchaguzi .

Kwa Bahati Mbaya Ofisi ya Katibu Mkuu ilinipuuza na kuwaachia watu wateme nyongo zao, Imekuja kustuka ikiwa muda ushapita, na kiukweli pande zote zinakashifiana, Lissu anapiga Spana kwa kusaidiwa na wanaomuunga mkono, na huku Wapambe wa Mbowe nao wakipiga spana upande wa pili, hakuna penye afadhali.

Siku zote Minyukano kwenye Chama kilicho hai ni ishara ya kukomaa kwa Demokrasia ndani ya Chama hicho, Lakini kushambuliana kwa kuvuka mistari ya Katiba ya Chama huo ni Uhuni na hatutakubali, Chadema siyo genge la Wavuta bangi.

Naunga Mkono Kuondolewa kwa Ntobi kwenye uongozi kwa kukiuka maadili ya Chama, kama Alijivunia Cheo chake mbona Wenyeviti wengine wa mikoa hawatukani, kwani wao hawahusiki na Uchaguzi huu au wao ni Wajinga?

Sasa maadam tumeamua kuadhibu Watovu wa nidhamu basi tusiishie kwa Ntobi pekee, tushughulikie na wengine wote wanaofahamika, Orodha yao ipo wazi kabisa na mimi ninayo.

Kikubwa ni kwamba Watakaposhughulikiwa tusianze kulialia na kuleta lawama, kama Katiba ya Chadema ni moja basi panga lililotumika kufyeka Ntobi, Lifyeke na Watukanaji wengine.

Mungu Ibariki Chadema.
Hivi mtu kama Ntobi aliweza vipi kuwa hata kiongozi? Yaani ni kiazi kiazi. Nonsense stuff!..sijawahi ona Msukuma mjinga kiasi cha Ntobi.
 
Back
Top Bottom