Nimefurahishwa sana na Uchaguzi wa BAWACHA Taifa

Nimefurahishwa sana na Uchaguzi wa BAWACHA Taifa

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Nimefurahishwa sana na uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bawacha. Kwa kweli unaonyesha ukomavu wa Baraza hilo maana wagombea wote wanastahili hiyo nafasi.

Baada ya uchafuzi unaoendelea katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hawa wakina mama wanaleta matumaini.

Amandla...
 
Mmmmhhh ngoja kidogo wakae sawa
Mipasho hiyo wakiipeleka serikalini nchi itawaka moto ndani ya wiki moja
Sasa si Bora wanaopashana wanakuwa na uthubutu wa kuropokeana pale ambapo mambo yanaharibika, kuliko Hawa wanaofumbana fumbana na kufichiana madhaifu ya kiuongozi
 
Nasikia Bawacha Taaayariiii hukoooo...

Gooooooooooooo... mwamba kashinda!!

Duuuh jamaa ana bahati sana!!
 
Back
Top Bottom