Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka tunafikia siku ya uchaguzi, kuna watu watafika wameacha akili zao njiani kuelekea wehu 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama kawaida yako....wewe tena.Kuna dada anapitapita sana hata kwenye video, huyu Bawacha nimempenda, mwili wake umegawanyika vizuri
UKiwa unaongea uongo hili ndio hutokea
Chakula ya MkitiKuna dada anapitapita sana hapa kwenye video, huyu Bawacha nimempenda, mwili wake umegawanyika vizuri
Nimefurahishwa sana na uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bawacha. Kwa kweli unaonyesha ukomavu wa Baraza hilo maana wagombea wote wanastahili hiyo nafasi.
Baada ya uchafuzi unaoendelea katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hawa wakina mama wanaleta matumaini.
Amandla...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpaka tunafikia siku ya uchaguzi, kuna watu watafika wameacha akili zao njiani kuelekea wehu 🤣🤣