Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
WanahesabuNani ameshinda huko?
Chama Kimekomaa kinastaili kushika NCHI
Kwa taarifa yako watu wanaopashana ndo huishi pamoja na kuheshimiana.Mmmmhhh ngoja kidogo wakae sawa
Mipasho hiyo wakiipeleka serikalini nchi itawaka moto ndani ya wiki moja
Kwa taarifa yako watu wanaopashana ndo huishi pamoja na kuheshimiana.
Wasiokupasha, husubiri kukuroga tu
Nchi Gani? 😂Chama Kimekomaa kinastaili kushika NCHI
Sasa si Bora wanaopashana wanakuwa na uthubutu wa kuropokeana pale ambapo mambo yanaharibika, kuliko Hawa wanaofumbana fumbana na kufichiana madhaifu ya kiuongoziMmmmhhh ngoja kidogo wakae sawa
Mipasho hiyo wakiipeleka serikalini nchi itawaka moto ndani ya wiki moja
Anafaa kwa matumizi yetu yaleee !Kuna dada anapitapita sana hata kwenye video, huyu Bawacha nimempenda, mwili wake umegawanyika vizuri
Kwani anagombea cheo gani?Lissu anagalagazwa vibaya Bawacha
Mwamba kahamia bawacha?Nasikia Bawacha Taaayariiii hukoooo...
Gooooooooooooo... mwamba kashinda!!
Duuuh jamaa ana bahati sana!!
Kutoka mwamba tuvushe hadi mwamba tupishe.Nasikia Bawacha Taaayariiii hukoooo...
Gooooooooooooo... mwamba kashinda!!
Duuuh jamaa ana bahati sana!!