Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwanini unaka kwa wazazi wako, na unapiga watoto wako baada ya kulewa, acha pombe mkuu.Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.
Mfano ;
Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,
Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Hama kwenuWakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.
Mfano ;
Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,
Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Kama ambavyo unatuletea hasira za wapalestina humu JF.Hasira zako usiwatolee watoto. Kamtolee baba yao.
Unatupotezea muda na kutujazia server tu humu Jf. Ushauri ni mmoja tu, ondoka kakae kwako.Mimi ndio baba yao.
Ila wazazi wangu hawataki niwaadhibu au hata kuwasema tu wanangu.
Jamani, dogo akikosea nikimsema bibi yake a awake utadhani nimeua??
Na wewe ni mtoto ndio maana.... mtoto kumpiga mtoto mwenzie nia kosa.lazima afokewe hata kufinya ikilazimika .Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.
Mfano ;
Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,
Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Una umri wa miaka mingapi?Mimi ndio baba yao.
Ila wazazi wangu hawataki niwaadhibu au hata kuwasema tu wanangu.
Jamani, dogo akikosea nikimsema bibi yake a awake utadhani nimeua??
Huyu bibi nae kwakweli simuelewi.Aise ktk kipindi fimbo zitembezwe kwa watoto ni kipindi hiki. Tandika Hadi wakuone soro Hawa wazazi wako wasingekutandika Leo hi ungekuwa kibaka
Kitu gani kimefanya uamini kwamba jamaa anaishi kwa wazazi wake?na hujui hata wewe hapo kuna namna ilibidi wazazi wako wakuadhibu ili uje kuwa na akili kama unazoona unazo leo?Wewe kwanini unaka kwa wazazi wako, na unapiga watoto wako baada ya kulewa, acha pombe mkuu.
Watu wanavyomwambia akapange aondoke hapo nyumbn mnaweza msiish pamoja Ila ukimchapa mtoto anakimbilia kwa wazazii..... Humu watu sjui wanalewaga asubuhiU
Una umri wa miaka mingapi?
Je wazazi wako mtoto wao wa mwisho ana umri gani?
Wastani wa umri wa wazazi wako ni miaka mingapi?
Shukuru MUNGU una wazazi wanawajali wanao! Shukuru MUNGU!Mimi ndio baba yao.
Ila wazazi wangu hawataki niwaadhibu au hata kuwasema tu wanangu.
Jamani, dogo akikosea nikimsema bibi yake a awake utadhani nimeua??
At least umeelewa wengine umu wanajibu tuu ilimradi, Hama apo..... Mara una hasira, sjui kulewaKitu gani kimefanya uamini kwamba jamaa ana kwa wazazi wake?na hujui hata wewe hapo kuna namna ilibidi wazazi wako wakuadhibu ili uje kuwa na akili kama unazoona unazo leo?
So kila anaempa adhabu mtoto wake anakuwa amelewa pombe?
Saasa Role yangu kama mzazi ni ipi maana jamaa hawataki hata useme lolote.At least umeelewa wengine umu wanajibu tuu ilimradi, Hama apo..... Mara una hasira, sjui kulewa
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Simama kama baba mtoto halelewi na bibi au babu bro,mimi mama yangu wakati wa udogo wangu kunilaza njaa kama adhabu ilikuwa kwake kitu simple tu,tena nikishalala njaa asubuhi naamka naenda shule bila kugusa chochote.Saasa Role yangu kama mzazi ni ipi maana jamaa hawataki hata useme lolote.