Nimegeuka adui wa mzazi dhidi ya wanangu

Nimegeuka adui wa mzazi dhidi ya wanangu

Na ukikubali kutowachapa ukafuata ya bibi na babu yao, utawaharibu wanao.

Sijui kwann wazazi wetu wakizeeka wanasahau kuwa wao walitutembezea vitasa haswa wakt tunakuwa.

Pole sana
 
Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.

Mfano ;

Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,

Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Nadhani wanakuona huna uwezo wa kuwasimamia maana bado unaishi kwenu
 
Saasa Role yangu kama mzazi ni ipi maana jamaa hawataki hata useme lolote.
Simama Kama mzazii...... Wazaz watakuharibia mtoto, wao umri ushaenda unavyo waadhibu wanaona km huruma, lkn km mzazii simama, mkanye, mjenge na mfundshe mwanao..... Fimbo muhimu kwa kipind hiki km ndo 6yrs-14yrs awee tembeza kirungu

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.

Mfano ;

Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,

Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Hama hapo kwao au unaish nao kwako?
 
Inategemea uzito wa adhabu unazompa mtoto! Kama wao hawakukuadhibu kama unavyomwaadhibu mtoto lazima watakupinga!
 
Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa.

Mfano ;

Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu,

Nifanyaje maana watoto ni wangu ila wazazi wangu wamewamiliki.
Unakaa kwa wazazi au umewaita wazazi uishi nao?
 
Watu wanavyomwambia akapange aondoke hapo nyumbn mnaweza msiish pamoja Ila ukimchapa mtoto anakimbilia kwa wazazii..... Humu watu sjui wanalewaga asubuhi

Nii kawaida wazazi kukataa kuchapa watoto lkn watoto wapigwe kisawasawa kwa fimbo sio mateke Wala ngumi no.....

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Yaani akijibu hilo dodoso kwa ufasaha tayari mimi nitampatia majibu ya maswali yake.
 
Mimi ndio baba yao.

Ila wazazi wangu hawataki niwaadhibu au hata kuwasema tu wanangu.

Jamani, dogo akikosea nikimsema bibi yake a awake utadhani nimeua??
Wwe na wanao wote mmewekwa kapu moja la watoto wa nyumbani, kwa hiyo mkuu unatakiwa utii sheria bila shuruti hapo nyumbani kwa wazazi wako,la sivyo ukitaka kua full control kwenye malezi ya wanao kua na mji wako wa wewe na wanao!!
 
Huyu bibi nae kwakweli simuelewi.

Ukigusa tu anakua mkali mno.

Niko njia panda maana bi mkubwa hataki niwaseme wajukuu wake.
Chunguza vizuri, isijekua madogo wametoa rushwa kwa Bibi yao ili maamuzi yako wwe dhidi yao yawe yanatenguliwa na Bibi mara kwa mara!!
 
Back
Top Bottom