Nimegoma Kuwa Mnyonge Mbele ya Polisi

Mkuu,ile issue yako ya kukojoa kitandani uliisolve?
 
Traffic mwenye akili hawezi kukomalia kukomoa wananchi, maana rushwa kila siku wanachukua na kinyume na sheria, anashindwaje kusamehe?

unakutana na polisi kwa matatizo tu wala sio starehe au biashara.akikwambia utaona anakukumbusha uhusiano wenu mshindi wa mwisho ni yeye.siku itafika utatamani apokee rushwa halafu jamaa atakataa kabisa ili haki itendeke.

kwani ukishindana na polisi unapata faida gani zaidi ya kupoteza heshima yako???
 
Utajuaje kama huna kosa bila kuwasikiliza..ukiamsha si wanaanzia kukifukuzia wanajua huenda una kitu ambacho hakipo SAwa...Cha muhimu ninkusimama na kuwasikiliza pengine wanafanya ukaguzi ambao kisheria wanaruhusiwa
 
Mwamwindi nakuamini sana, fanya mambo ikiwezekana nunua hata mguu wa kuku
 
Mi naamini hakuna jambo baya litalotokea kwako kama umeweza kuyashinda hayo yote hapo awali pasipo kuomba ushauri kwa yeyote basi hata hilo lingine halitakuwa suala zito sana
 
Endeleeni kuvimba nao had mwisho usitake ssukuhu Kama vip nikupe namba za kingai au muone katibu mkuu chongolo amishwe kituo haraka sanan
 
Nimesimamishwa na trafik wa ddm siku moja mbeele ya rto wa mkoa nikagoma kusimaa kwani nijifisha nyuma ya lory hvyo nikaendelea na safari huku kulikuwa na ugaguz mkuu nikaendelea na safari kufika mbele Mara naona gari ya police kwa nyuma wako na mapikipik Kama vile wanamfatilia gaidi dah wakaamuru magari mengine yakae pembeni ili waweze kuniteka vzr wakaniamuru niweka gar pembeni na kusiima kbsa bila kujali kuwa pale Kuna pakingi nikasimama Mona kwa moja wakasema nijeuze nirlekee kituo kiuu Cha polic nikiwa naendesha na kuzindikizwa. Nao wakiwa katk deifenda na pikipiki mbili na silaha nzito juu wakaniongoza had kituoni nigaoma kuendelea na gar kuisima ili kuwaomba msamaa wakasema. Shart nifike kituoni ndio nikaongee waktk nabishana nao mkuu wao akshuka ktk gari na kumuona mtu anaewasumbua poilice alfu shuka tu gafla nikaaona amenitambua na mm namjua vzr sna ila sikujuwa kuwa Ni rto wa ddm nikazuga Kama simjui na yey akazuga Kama hanijui ndio akanipiga piga biti akawambia jamaa wasaerach gari Kama nabeba madawa kumbe Sina kitu bas akawamuru matrafiki wankache tu kwani Ni muda mchache tu nilitoka kuandikiwa
 

mkuu unatumia mbao kutype ktk keyboard[emoji80][emoji80]
 
Hii ni yenywe[emoji109]
 
Usihofu huyo hana madhara yoyote,
Haki haiji kwa kubembeleza, haki hutafutwa inapobidi.
Nadhani tuko pamoja nami sikubali kuonewa na yeyote nikiwa kwenye haki.
Niko Tayari kufanya lolote wakati wa kudai haki yangu.
 
Nllishamkunjaga shati trafiki mwaka 2014 mwezi may tar 8 barabara ya kutoka iringa mbeya naamini hakuamini na hato sahau maisha yake yote
 
Watoto wanamini baba ananguvu kuliki wote lazma kulinda brand
 
Ukiwa na familia jitahidi usidhalilike kwa vyovyote vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…