Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,373
- 6,532
Nipo asee kwema ☺️☺️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dogo upooo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo asee kwema ☺️☺️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dogo upooo???
Hawa ndio wanafanya maisha yawe magumu[emoji38][emoji38]
Na uanaume wako wote mbwinu zako ndio zimeishia hapo
Sio wewe umeanzisha mada?Kuna nini mkuu?
Kwann nifanye ivo? Inamaana kina kiranja, bujibuji wote ni mie? Maana wote wamewahi anzisha mada juu yangu!Sio wewe umeanzisha mada?
😂😂😂😂Hadi kwikwi.Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni.
Kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
Mjomba hapangwingwi..Kaelewa totoo To yeye umemchanganya ujuee😂😂😂 maana sio kwa sound hizi🤣🤣🤣Balaaa 🤸🤸
Nipo penzini mkuu
Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni.
Kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
🤣🤭We endelea kutag watu😂😂😂😂Hadi kwikwi.
Ccy To yeye na huyu tena katokea wapi.
Manyanza
Bujibuji Simba Nyamaume
Njoeni shemeji zangu mjioneee huku.
Tuliambiwa kwamba wanawake wa Dar wana wanaume 9 na wanaume wana wanawake 9.😂😂😂😂Hadi kwikwi.
Ccy To yeye na huyu tena katokea wapi.
Manyanza
Bujibuji Simba Nyamaume
Njoeni shemeji zangu mjioneee huku.
Na yule shemeji mwingine anaitwa nani ccy😁😁❤️🤣🤭We endelea kutag watu
Yupi huyo...au S?Na yule shemeji mwingine anaitwa nani ccy😁😁❤️
Maana ninao wengi mno🙆Na yule shemeji mwingine anaitwa nani ccy😁😁❤️
Nipo au tupo 😂🤣Nipo penzini mkuu
😂😂😂 faza benard, faza benard😆😆😆😆😆we jamaa