Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
😂😂😂 Waache wazid kujaa love.Maana ninao wengi mno🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Waache wazid kujaa love.Maana ninao wengi mno🙆
Usiwe hivyo mkuu.Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni.
Kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
Yule ananiita shem darling sema id yake siikumbuki kabisa ccy.Yupi huyo...au S?
Daah huu ni uoga mkubwa ndio atongoza hivi😂😂kwa hio ndio unamtongoza au unatupa taarifa??
Meza imepinduliwa🤣National Anthem ......mambo yamebadilika huku
hahaha ndio wewe msome kwa makini utaelewaDaah huu nibuoga mkubwa ndio atongoza hivi😂😂
Hahahahaha..kumbe To yeye super star humu...Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa kila namna nionane nae na nimwambie yaliyo moyoni.
Kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.
Hahahahaha bado wewe upinduliweMeza imepinduliwa🤣
Hahahahaha...haumo vipi..? Nimeamka salama na poa kbs..sijui wewe🤣🤣🤣🤣mi simo.umeamkaje lakini?
Asante sanaHahahahaha...haumo vipi..? Nimeamka salama na poa kbs..sijui wewe
😂😂😂😂 alipoteaga kitambo sanaMkuu Vipi Ulifanikiwa Lengo Lako La Kuleta Uzi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alipoteaga kitambo sana
Nina mume mkuuMuone Hata Huruma Ndugu Yetu Huyu Si Kwa Kumtesa Hivi Mtoto Wa Mwenzio.[emoji23]
Nina mume mkuu
2yy mtu akikuelewa mpe ushirikianoNaomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
Sipo single mkuu2yy mtu akikuelewa mpe ushirikiano
SawasawaHakuna Tatizo Haya Yeye Ana Mke[emoji23]