Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
-
- #141
That has been too personal and illogical thinking chief.. pole sana ila mpumbavu huonekana mwerevu akikaa kimya mpaka wakat atakapofungua kinywa chake.l kama hiv.. maada hii na utapel wap na wapi? Au na wewe ndio wale TUMA KWENYE NAMBA HII JINA LITAKUJA ras jeff kapita ?Maherufi makubwa yanatumiwaga na matapeli
Acha kutumia herufi kubwa. Hizo zinatumiwa na matapeli na waganga. Trust me that is the positionThat has been too personal and illogical thinking chief.. pole sana ila mpumbavu huonekana mwerevu akikaa kimya mpaka wakat atakapofungua kinywa chake.l kama hiv.. maada hii na utapel wap na wapi? Au na wewe ndio wale TUMA KWENYE NAMBA HII JINA LITAKUJA ras jeff kapita ?
maherufi makubwa ndo yamekufanya uone chai? nadhani alikuwa anaonesha msisitizo..!Mbona kama chai hii! Hayo maherufi makubwa yalikuwa na umuhimu gani?
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.
Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .
Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".
Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?
Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.
Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)
Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.
Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"
akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".
Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"
AKASEMA SAWA.
Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?
Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.
IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Daahh!! Sawa mkuu. Sitarudia tema 😂. Kinachonipa shida kuelewa ni uhusiano wa herufi kubwa na matapel!😆😆Acha kutumia herufi kubwa. Hizo zinatumiwa na matapeli na waganga. Trust me that is the position
Hujawahi tumiwa sms na waganga matapeli! Wanatumiaga herufi kubwaDaahh!! Sawa mkuu. Sitarudia tema 😂. Kinachonipa shida kuelewa ni uhusiano wa herufi kubwa na matapel!😆😆
Hii ni kwelHujawahi tumiwa sms na waganga matapeli! Wanatumiaga herufi kubwa
Uko sahihNi mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.
Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .
Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".
Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?
Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.
Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)
Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.
Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"
akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".
Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"
AKASEMA SAWA.
Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?
Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.
IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Kwani alikuwa anaingizwaaSikuwahi kuliwazia hili ila inafikirisha hasa kwa madaktari kupenda ku recommend hii dawa kama vile hakuna mmbadala mwingine.
Ukute ni moja ya maagizo ya watu LQGBT kutaka kila mtu awe mdau wao.
Sitokubali tena mwanangu achomekwe hii dawa makalioni
Hospital mkuu..Tena hospital kubwa tu katika wilaya hii ya Temeke.una uhakika yupo hosptal maana kushusha homa kwa hivyo wanafanya sana dispensary
Ok.Kwani alikuwa anaingizwaa
Yaani Kuna watu hadhi zenu ni Facebook tafutia basi chapati unywe....kazi kuandikia nyuzi za wenzenu chai chai..Mbona kama chai hii! Hayo maherufi makubwa yalikuwa na umuhimu gani?
Je inapatikana hapo alipo?It’s okay , Ila kuna Iv paracetamol which is standard , per rectal ni alternative tu . Una haki ya kukataa maana alternative zipo kibao