Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Maherufi makubwa yanatumiwaga na matapeli
That has been too personal and illogical thinking chief.. pole sana ila mpumbavu huonekana mwerevu akikaa kimya mpaka wakat atakapofungua kinywa chake.l kama hiv.. maada hii na utapel wap na wapi? Au na wewe ndio wale TUMA KWENYE NAMBA HII JINA LITAKUJA ras jeff kapita ?
 
Ni kweli una hoja, Ila daktari alikuwa sahihi ingawa wengine wanaosema kuna alternative.

Mimi ni shuhuda, mtoto wangu wa KIKE miaka 5 alipata joto kali sana, na kwa vile mimi huwa nina utaratibu wa kuwapeleka wanangu hospitali mwenyewe hata km mama yao yupo idle, nilipofika wakampima wakasema wamuwekee hicho kidonge, sikubisha bali niliwambia lazima niwepo kwenye hicho chuma Cha daktari. Doctor alikuwa wa kiume tena kijana mdogo tu, nilisimama humo Hadi nikatoka naye kuendelea na tibaa zaidi.

Ila na mimi walinilazimisha alazwe nikagoma na ulikuwa tayari usiku wa saa 6. Nilikuwa na sababu zangu binafsi za kugoma, wakataka kumchoma sindano ya christapeni nayo nikagoma nikawambia wanipe nitamchomea nyumbani. Ilikuwa private hospital.

Kwa hiyo huna baya, ingawa haikuwa mbaya pia maan hicho kidonge naona wanakiamini japokuwa wa kwangu homa ilishuka kidogo sn.

Mungu walinde watoto wangu, Mungu ilinde familia yangu.
 
That has been too personal and illogical thinking chief.. pole sana ila mpumbavu huonekana mwerevu akikaa kimya mpaka wakat atakapofungua kinywa chake.l kama hiv.. maada hii na utapel wap na wapi? Au na wewe ndio wale TUMA KWENYE NAMBA HII JINA LITAKUJA ras jeff kapita ?
Acha kutumia herufi kubwa. Hizo zinatumiwa na matapeli na waganga. Trust me that is the position
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.


Ni sipo kuwepo eneo la tukio ufuatiliaji wangu ni kama wako, wasiwasi ndo maisha, pongezi saaaaaana....

Hapana mambo ya hovyo hovyo.
 
Una haki ya kukataa kama kuna alternative.
Mimi wangu alikua hajapata choo karibia siku 4, mamake kapagawa. Akaenda naye hospital anapofanyia (yeye anafanyia CTC ila si mtaalam wa afya.). Daktari akasema kesi ndogo hiyo, wakamweka kipunje cha sabuni kwa rectum......dogo akapata choo.
Vitu vingine tunaexaggerate wabongo. Tusicomplicate maisha kihivyo. Kwamba akiwekwa dawa ndo awe shoga?
 
Acha kutumia herufi kubwa. Hizo zinatumiwa na matapeli na waganga. Trust me that is the position
Daahh!! Sawa mkuu. Sitarudia tema 😂. Kinachonipa shida kuelewa ni uhusiano wa herufi kubwa na matapel!😆😆
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Uko sahih
 
Sikuwahi kuliwazia hili ila inafikirisha hasa kwa madaktari kupenda ku recommend hii dawa kama vile hakuna mmbadala mwingine.

Ukute ni moja ya maagizo ya watu LQGBT kutaka kila mtu awe mdau wao.

Sitokubali tena mwanangu achomekwe hii dawa makalioni
Kwani alikuwa anaingizwaa
 
pole sana mkuu.
ulikuwa sahihi ukizingatia unafahamu baadhi ya dawa za kushusha homa ama joto.
wasiwasi ndio akilii
 
Back
Top Bottom