Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE MKU ND UNI?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahat mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
DR Mambo Jambo toa suluhisho la utaalamu hapa.
 
Watanzania wengi wanapata matatizo ya misdiagnosis/ kubambikiwa magonjwa kwa makosa kwa kukosa uthubutu wa kutafuta "second opinion".

Yani daktari anafanywa kuwa kama hawezi kukosea, anajua kila kitu.

Katika nchi yenye uwianonwa dakyari mmoja kuhudumia watu zaidi ya 20,000 last time I checked, madaktari wanaonekana kama miungu watu.

Kuna masuala ya elimu, utamaduni na uchumi hapo.

Mara nyingine ni muhimu kupata second opinion.

Kwa kesi hii si misdiagnosis, lakini ni tiba ambayo mzazi hayuko comfortable nayo, na hakupewa alternative.

Watu wengi zaidi wanatakiwa kuwa na uthibutu wa kuhoji madaktari ili kupata huduma bora zaidi wanazostahili na kupenda.
 
Watanzania wengi wanapata matatizo ya misdiagnosis kwa kukosa uthubutu wa kutafuta "second opinion".

Yani daktari anafanywa kuwa kama hawezi kukosea, anajua kila kitu.

Kuna masuala ya elimu, utamaduni nanuchumi hapo.

Mara nyingine ni muhimu kupata second opinion.

Kwa kesi hii si misdiagnosis, lakini ni tiba ambayo mzazi hayuko comfortable nayo, na hakupewa alternative.

Watu wengi zaidi wanatakiwa kuwa na uthibutu wa kuhoji madaktari ili kupata huduma bora zaidi wanazostahili na kupenda.
Uko sahihi mkuu. Ahsante na ulichokisema ni ukwel mtupu.

Ukitaka ugomvi kiasi kwamba usihudumiwe vizuri hapa bongo, basi jaribu kumhoji dokta/nurse au onyesha huridhiki na huduma yake, utakiona.
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE MKU ND UNI?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahat mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Nonsence kabisa, yaan daktari ana mprescribe mtoto unajifanya mjuaji, si ungebaki naye nyumbani umtibu mwenyewe
 
Uko sahihi mkuu. Ahsante na ulichokisema ni ukwel mtupu.

Ukitaka ugomvi kias kwamba usihudjmiwe vizur hapa bongo, basi jaribu kumhoji dokta/nurse au onyesha huridhik na judima yake, utakiona.
Second opinion ni haki ya msingi ya mgonjwa na familia yake. Daktari makini hataona shida kwenye second opinion. Kwa sababu, kwanza atajiamini, lakini pia, hata kama kakosea, kitu cha muhimu kabisa ni afya ya mgonjwa, si utukufu wa daktari.

Huko kwetu bado tunalimbuka.
 
Nonsence kabisa, yaan daktari ana mprescribe mtoto unajifanya mjuaji, si ungebaki naye nyumbani umtibu mwenyewe
Kwa mwanangu ni sawa tu kuwa mjuaji. And by the wayg sitibiwi bure natumia pesa. Pia mimi sio kayumba nina reasoning yangu nzuri. Pia nina amin katika alternatives. Mimi sio mshirikina wa kila kitu TAWIREEEE. umenisoma kijana? Zaa wa kwako ukamsikilize dokta kwa kila kitu
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE MKU ND UNI?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahat mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Miaka kama 25 iliyopita niliugua malaria kali nikalazwa . Dokta alikuja wodini siku moja na kidonge kukubwa kama kidole. Alinipa kidonge kile na kuniambia nikiingize kwenye njia ya chooni nami pasipo kusita nilikusukumiza na mambo yalikuwa safi.

Usiogope mkuu ujinga una gharama kubwa sana!
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE MKU ND UNI?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahat mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.
Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Mwanang wa kwanza wa kiume
 
Una ruhusiwa kuchagua Matibabu unayo taka . Daktari anaweza Shauri tu . Na Akiforce unaweza mpeleka Mahakamani na kumfanga .
Kibongo bongo hii naona bado sana. Kama mtu anachiwa mkasi tumboni baada ya operation na bado hashtakiw wala kufukuzwa kazi ndio masikin ataweza kumuwajibisha kisheria kweli?

Skendo kunwa ya aibu ile ya muhimbil ya operation ya kichwa kufanywa mguuni na ya mguun kwenda kichwan bado ikaisha kirahisiiiii
 
Oya hayo ndo maamuzi ya kiume ni kweli hizo dawa zipo lakini ila mtoto wakiume akianza kushikwashikwa hizo sehem ataona ni kitu cha kawaida dawa ni kukataa kabisa hakuna kitakachomuua apige hata paracetamol ndo uanaume huo.
 
Miaka kama 25 iliyopita niliugua malaria kali nikalazwa . Dokta alikuja wodini siku moja na kidonge kukubwa kama kidole. Alinipa kidonge kile na kuniambia nikiingize kwenye njia ya chooni nami pasipo kusita nilikusukumiza na mambo yalikuwa safi.

Usiogope mkuu ujinga una gharama kubwa sana!
The difference here, mimi sio mjinga, mimi i have been just curious..
 
Sikuwahi kuliwazia hili ila inafikirisha hasa kwa madaktari kupenda ku recommend hii dawa kama vile hakuna mmbadala mwingine.

Ukute ni moja ya maagizo ya watu LQGBT kutaka kila mtu awe mdau wao.

Sitokubali tena mwanangu achomekwe hii dawa makalioni
Maskini weee!!!... Kumbe ulishakubali akawekewa dawa mkuu. Ndni!? ...

Kwisha habari yake!!! Huyo mtoto Ashakuwa punga tu!....

Hizi na dawa za misaada zinazokuja na masharti ya LGBTQ
 
Back
Top Bottom