Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

Nimegomea pendekezo la tiba toka kwa daktari

HUwa naamin kwamba kila kitu hapa dunian kina alternative. Nisipoipata kwako haina maana haipo, ni uwezo wako umeishia hapo. Wengine wataanzia ulipoishia wewe. Ndio maana kuna REFFERALS
Assume temp ni 39.9°c,
Dawa iliyopo ni hiyo tu,
Wewe unaendelea kuhoji kuhusu alternative na Bado unasisitiza Kama hakuna upewe referral.
Kinachofuata utajua hujui ila Mungu tu. Maana utamtamani hata huyo mtoto ambaye huna hakika kwamba atakuwa shoga.
Pamoja na haki ya kuhoji kuhusu alternative na kuomba referral, pia twapaswa kuelewa kuwa Kuna 'State of emergency ' ambapo huitajika maamuzi sahihi na kwa haraka ili kuokoa maisha ama uharibifu wa utimamu wa mgonjwa.
Paracetamol suppository imekuwa msaada mkubwa kwenye situation hiyo.
Inashusha temperature haraka na ni affordable almost kwa wagonjwa wote.
 
Hata mimi nisingekubali !!!!! Usiniulize kwa nini ila nisingekubali!!!
Ujanja unao tu ukiwa mzima au mgonjwa kiasi.
Kuna hatua ya kuumwa ikifika utapelekwa tu Kama gari bovu, huwezi kuhoji maana uwezo huo huna ama hujitambui kabisa.
Mambo mengine watakufanyia maamuzi relatives wako iwapo wapo karibu.
 
Sasa ungemtibu wewe. Huwez kumgomea Dr bila kuja na sababu. Unakataa tu bila sababu then umempeleka mwenyewe hospital. Hujui joto likivuka 42 mtoto anaweza kupata degedege na kukakamaa kunakosababisha kilema cha maisha. Usifanye tena huu ujinga next time. Hujui kitu uliza acha ushamba wa kujifanya unaleta ubabe kwenye kila kitu.
Mimi sio daktar ila hayo yote najua braza. Hatua ya kwanza kabla ya yote mtoto alipimwa joto na lilikua juu ndio 38.5 degree. Haikua hatar hiyo ambayo wewe una imagine mkuu.
Kwan ni kosa kutumia na sis akil zetu bro kufikir tu?????
 
Assume temp ni 39.9°c,
Dawa iliyopo ni hiyo tu,
Wewe unaendelea kuhoji kuhusu alternative na Bado unasisitiza Kama hakuna upewe referral.
Kinachofuata utajua hujui ila Mungu tu. Maana utamtamani hata huyo mtoto ambaye huna hakika kwamba atakuwa shoga.
Pamoja na haki ya kuhoji kuhusu alternative na kuomba referral, pia twapaswa kuelewa kuwa Kuna 'State of emergency ' ambapo huitajika maamuzi sahihi na kwa haraka ili kuokoa maisha ama uharibifu wa utimamu wa mgonjwa.
Paracetamol suppository imekuwa msaada mkubwa kwenye situation hiyo.
Inashusha temperature haraka na ni affordable almost kwa wagonjwa wote.
Joto lilikua 38.5 degrees chief. Mimi sifanyagi maamuzi bila groundings za kusimamia..sio daktar sawa ila general knowledge hiz za kawaida tu kama msomi ninazo kaka.
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
Wenye misimamo hawatangazagi 😂😂😂😂 mwanao angeliwa mapema sana...... Alaf shida zako pambana nazo
 
Wenye misimamo hawatangazagi 😂😂😂😂 mwanao angeliwa mapema sana...... Alaf shida zako pambana nazo
I sense Kind of hard feelings hapa..mbona kama umetatizika kijana?😂..
Maana napambana na shida zangu ila kama unaumia wewe hiv????
 
Ujanja unao tu ukiwa mzima au mgonjwa kiasi.
Kuna hatua ya kuumwa ikifika utapelekwa tu Kama gari bovu, huwezi kuhoji maana uwezo huo huna ama hujitambui kabisa.
Mambo mengine watakufanyia maamuzi relatives wako iwapo wapo karibu.
Ukifika hatua hiyo huna la kujilaumu maana u were out of controll
 
I sense Kind of hard feelings hapa..mbona kama umetatizika kijana?😂..
Maana napambana na shida zangu ila kama unaumia wewe hiv????
Ni kweli kabisa hujakosea cha msingi angalia asije akaliwa alaf misimamo yako sio lazima uje kuibwata hapa jf mara nyingi watu wa kulonga longa sana hawanaga misimamo au leo ndio mara ya kwanza kutoa msimamo af unajiona kidume😂😂
 
Ni kweli kabisa hujakosea cha msingi angalia asije akaliwa alaf misimamo yako sio lazima uje kuibwata hapa jf mara nyingi watu wa kulonga longa sana hawanaga misimamo au leo ndio mara ya kwanza kutoa msimamo af unajiona kidume😂😂
Braza kunywa maji mengi tu.mimi sio sababu ya shida ulizonazo (kama zipo). Hupemd kitu kausha tu hutapungukiwa lolote
 
Ni mwanangu wa kiume, wa 3 kuzaliwa and he is 5 years now.

Kuepusha maneno mengi ni kwamba muda huu yuko hospitali, na mama yake na baada ya diagnosis ikaonekana ana mchafuko wa damu na homa iko juu ana joto flan .

Baada ya kupata majib maabara na kumuona dokta akauliza
"AMESHAPEWA DAWA?".

Wife akasema HAPANA, DAWA GANI?

Dokta akamwambia "KWA JOTO HILO, ALIPASWA KUWEKEWA KIDONGE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA.

Bas wakiwa kwenye mazumgumzo nikapiga simu (mimi ni type ile ya watu kero wasumbufu hasa napo hisi ishu ni kubwa na mimi ndio nilipaswa kuwepo sasa ndio hivyo tena sipo, sasa huwa napiga sana simu kutaka kujua everything going on)

Wife akapokea akanipa hayo maelezo na ndio alikua anaelekea kutimiza huo utaratibu.

Nikauliza "KUSHUSHA HOMA NDIO LAZIMA KIDONGE KIWEKWE huko?"

akasema "NDIO NIMEAMBIWA HIVYO".

Nikasema "MWAMBIE DOKTA MUMEO KAKATAA, KAMA HAKUNA NAMNA NYINGINE BASI WAMWACHE TU, HIYO HOMA MPATIE PARACETAMOL"

AKASEMA SAWA.

Bahati mbaya sana kila mshkaj wangu ambaye ni dokta nikimpigia hapatikani au hapokei simu.

Nilitaka japo nipate consent zao kitaalam nijue japo sidhan kama ningekubal..atleast nilitaka tu kusikia wanasemaje?

Ndio hivyo wakuu NIMEGOMA.Mwanangu mwenyewe wa kiume ndio huyo huyo, wemgime wote watatu ni wakike, sasa waanze tena kumuweka vidongo njia ya hajakubwa viyeyukie humo halaf nini kitafuata.HAPANA KWAKWEL.

IMAWEZEKANA NIMEKOSEA ILA NDIO HIVYO, NIMEGOMA.
🤣🤣🤣🤣Kweli ujinga mzigo, mbona shwari tu kidonge chenyewe kidogo ila very effective kushusha joto... Sema ndo hivo hujui tu
 
Mimi sio daktar ila hayo yote najua braza. Hatua ya kwanza kabla ya yote mtoto alipimwa joto na lilikua juu ndio 38.5 degree. Haikua hatar hiyo ambayo wewe una imagine mkuu.
Kwan ni kosa kutumia na sis akil zetu bro kufikir tu?????
Kama ilikuwa joto hilo upo sahihi.
 
🤣🤣🤣🤣Kweli ujinga mzigo, mbona shwari tu kidonge chenyewe kidogo ila very effective kushusha joto... Sema ndo hivo hujui tu
Plus kutojua pia sikubaliani na huo utaratibu regardless how effevtive it could be
 
Pole sana kwa kuuguliwa .
Ni haki yako kuchagua aina ya tiba unayohiitaji hasa kwenye mwili wako na imekubidi usimamie haki ya mwanao kulingana na umri , Hongera sana .

Nimependa vile unajitambua kiasi cha kuyakataa matibabu ila nikutoe shaka rafiki ni kweli hayo matibabu yapo na yamekuwa yakifanyika kwa muda mrefu sana hivyo ondoa shaka .

Siku nyingine usikimbilie kukataa kitu fanya upembuzi rafiki kwa watu wa kada husika ndiyo uje na hitimisho maana nimeogopa vile rafiki zako madaktari hawakupokea simu wewe ukaja na msimamo siku nyingine kwa kariba ya watoa afya walio wengi utaweza kuuwa mwanao

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kwa kuuguliwa .
Ni haki yako kuchagua aina ya tiba unayohiitaji hasa kwenye mwili wako na imekubidi usimamie haki ya mwanao kulingana na umri , Hongera sana .

Nimependa vile unajitambua kiasi cha kuyakataa matibabu ila nikutoe shaka rafiki ni kweli hayo matibabu yapo na yamekuwa yakifanyika kwa muda mrefu sana hivyo ondoa shaka .

Siku nyingine usikimbilie kukataa kitu fanya upembuzi rafiki kwa watu wa kada husika ndiyo uje na hitimisho maana nimeogopa vile rafiki zako madaktari hawakupokea simu wewe ukaja na msimamo siku nyingine kwa kariba ya watoa afya walio wengi utaweza kuuwa mwanao

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pamoja mkuu. Umesomeka vizuri kabisa na nimekuelewa
 
Msisitizo
Tunaona tofauti sana sasa kama hiki ndio kimea area of your interest then bas hakuna cha kukusaidia. Ila wenye akil zao (namaanisha akili sio tope kama zako) wameweza ku grasp the whole theme na wame apply taalum zao hapa kujadil jojabkwa kuna kwa manufaa ya wengi. Umeona madaktari huko juu wameshuka nondo za kutosha .. sasa kama wewe akil yako imeishia kuona chai basi binua kikombe hicho umiminiwe na kama una saham lete upakuliwe mihogo unywee
 
Back
Top Bottom