Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
No no hayo ni maamuzi ya jabu kukaa naugonjwa pasipo sababu muone mtabibu wa afya upate vipimo usije jifia pasipo sababu sasa itikia kama feruzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye dawa lazima uwe unapanga foleni CTC Kila mtu akuone weww ni affected 🤣Ukimwi sio death sentence kama zamani, ni kitu cha kawaida kabisa, ukijua unao tumia dawa na ishi kwa misingi ya afya bora kama chakula na mazoezi, utaishi nao mpaka uzee ukuchukue
Shukran kkNo no hayo ni maamuzi ya jabu kukaa naugonjwa pasipo sababu muone mtabibu wa afya upate vipimo usije jifia pasipo sababu sasa itikia kama feruzi
Zinaweza kua dalili za ugonjwa mwingine pima kisha ukiwa nao nitafute dawa ipo 0712505049Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Sasa mtoto mzuri kama wewe ukimwi uutolee wapi? Alafu kumbe mafua yanakuendesha hivyo? 😎Nishawahi kupata dalili kama hizo kwa muda mrefu, mafua yasiokata, kikohozi homa na kupungua uzito
watu wakawa wanasema nikapime labda nimeukwaa
Dawa nyingi nikatumia hapo naogopa kwenda kupima,
Maza akaingia room akasafisha feni yangu vizuri sana, baada ya siku chache nikawa mzima.
Ukimwi ni uzushi tu, Wala usitishike. Yani upungufu wa kinga za mwili za mtu mwingine, ukupate na wewe? Hivi inaingia akilini?Nilivyoona notification Analyse nimecheka kqbla ya kujua umeandika nini😂
Aisee ngoma haina mwenyewe! Tuombeane afya njema.
Jishaue😂Ukimwi ni uzushi tu, Wala usitishike. Yani upungufu wa kinga za mwili za mtu mwingine, ukupate na wewe? Hivi inaingia akilini?
Mambo niaje lakini? Uko poa? Maana upo kimya sana.Jishaue😂
Unafki utaacha lini😂Mambo niaje lakini? Uko poa? Maana upo kimya sana.
Mimi na unafiki wapi na wapi? Sema nimekumissUnafki utaacha lini😂
Nitumie muendelezo halafu nikuambie nimekumiss zaidiMimi na unafiki wapi na wapi? Sema nimekumiss
Wewe siulileta pozi? 😅😅😅 Kaa kwa kutuliaNitumie muendelezo halafu nikuambie nimekumiss zaidi
Nitumie mwenzako!😔Wewe siulileta pozi? 😅😅😅 Kaa kwa kutulia
Ushakula chakula cha usiku kwani?Nitumie mwenzako!😔
Mpaka nikiolewa ndo nitakua nakula.Ushakula chakula cha usiku kwani?