Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

No no hayo ni maamuzi ya jabu kukaa naugonjwa pasipo sababu muone mtabibu wa afya upate vipimo usije jifia pasipo sababu sasa itikia kama feruzi
 
Ukimwi sio death sentence kama zamani, ni kitu cha kawaida kabisa, ukijua unao tumia dawa na ishi kwa misingi ya afya bora kama chakula na mazoezi, utaishi nao mpaka uzee ukuchukue
 
Ukimwi sio death sentence kama zamani, ni kitu cha kawaida kabisa, ukijua unao tumia dawa na ishi kwa misingi ya afya bora kama chakula na mazoezi, utaishi nao mpaka uzee ukuchukue
Hapo kwenye dawa lazima uwe unapanga foleni CTC Kila mtu akuone weww ni affected 🤣
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Zinaweza kua dalili za ugonjwa mwingine pima kisha ukiwa nao nitafute dawa ipo 0712505049
 
Nishawahi kupata dalili kama hizo kwa muda mrefu, mafua yasiokata, kikohozi homa na kupungua uzito
watu wakawa wanasema nikapime labda nimeukwaa

Dawa nyingi nikatumia hapo naogopa kwenda kupima,
Maza akaingia room akasafisha feni yangu vizuri sana, baada ya siku chache nikawa mzima.
Sasa mtoto mzuri kama wewe ukimwi uutolee wapi? Alafu kumbe mafua yanakuendesha hivyo? 😎
 
Sasa mtoto mzuri kama wewe ukimwi uutolee wapi? Alafu kumbe mafua yanakuendesha hivyo? 😎
Nilivyoona notification Analyse nimecheka kqbla ya kujua umeandika nini😂

Aisee ngoma haina mwenyewe! Tuombeane afya njema.
 
Nilivyoona notification Analyse nimecheka kqbla ya kujua umeandika nini😂

Aisee ngoma haina mwenyewe! Tuombeane afya njema.
Ukimwi ni uzushi tu, Wala usitishike. Yani upungufu wa kinga za mwili za mtu mwingine, ukupate na wewe? Hivi inaingia akilini?
 
Kuna kipindi niligugo dalili nikaona ninao kumbe hamna. Nimepima mara sita Sasa hakunaga ila Kwa papuchi nimekuwa mpole
 
Kwanini unahisi kuwa umeathirika ukiachana na hizo dalili? Je, kuna matches ambazo umekuwa au ulikuwa ukiuza kabla?
 
Back
Top Bottom