Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kwani huo mkanda wa jeshi, google ilisema ni mkanda wa jeshi gani?
 
Nishawahi kupata dalili kama hizo kwa muda mrefu, mafua yasiokata, kikohozi homa na kupungua uzito
watu wakawa wanasema nikapime labda nimeukwaa

Dawa nyingi nikatumia hapo naogopa kwenda kupima,
Maza akaingia room akasafisha feni yangu vizuri sana, baada ya siku chache nikawa mzima.
[emoji1787]
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
labda madaktari waje watuambie, uliugua moto miaka 14 iliyopita, umekuja kuungua sasaivi tena, hapo utakuwa nao kweli? ungekuwa umesavaivu hadi leo kama unao? manake hadi unaugua moto ina maana kinga zimepungua mwilini fourteen years ago, ungeshakufa mzee. hapo nenda tu kapime na unaweza usikutwe nao.

Pili, hata kama ukikutwanao, sio mwisho wa kuishi, na hata ukifa, shukuru Mungu atakuwa amekupatia nafsi ya kutengeneza mambo yako na Mungu. Kufa kunauma kibinadamu ila kiroho kufa ni kuzuri kama unakufa mikononi mwa Mungu, though ni hatari na hasara ukifa nje ya mikono ya Mungu, maana yake, Mungu amekuachia opportunity hii badala ya kuhangaika kwenye google, unatakiwa kuhangaika kuokoka, tubu dhambi zako kabidhi maisha yako kwa Yesu ili kama ukiishi uishi mikononi mwake na kama ukifa ufe mikononi mwake. wapo waliokufa gafla hata nafasi ya kutubu hawakupata na wameenda moja kwa moja motoni, usiwe mmojawapo. usichezee opportunity hiyo uliopewa ya kutengeneza mambo yako na Mungu. wengi wanakebehi, wanang'ang'ania dini badala ya wokovu, wanategemea wakifa waombewe na padre ili wasamehewe dhambi, Biblia inasema baada ya kifo ni hukumu, kuan nyakati mwanadamu ukikamatikaaa kwenye kona ukanona hamna namna hapa unakufa, solution inatakiwa kuwa KUTENGENEZA NA MUNGU ili huko unakoenda uende kuzuri. zingatia sana hili.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani. na kama matendo yako yatafuatana nawe, manake ukifa hata padre aombe usamehewe dhambi ukiwa maiti anajisumbua tu, wewe umeondoka na matendo yako, utaenda kuhukumiwa kwa yale uliyoyatenda. kama ulitenda maovu, haukutubu kabla ya kufa, utaenda nayo. wengi wanadharau njia ya wokovu, hawajui kwamba hio ndio njia ya kuwasaidia maisha ya baadaye. dini zimewakaa,wameendelea kuabudu maria, kuabudu wafu, na masanamu, wameacha njia ya wokovu ile ambayo mitume walikua nayo kitabu cha Matendo. katoliki kwa mfano wamefungia watu nira sana kwasababu wanaamini ukifa watakuombea utasamehewa huko uendako, kumbe hakuna kitu kama icho, wanaomba kwa maria, wanaomba kwa wafu, hata humu kuna watu hawatafurahi hiki nilichoandika kwasababu wanaipenda dini yao kuliko ukweli wa Neno la Mungu. cha muhimu mmesikia, na nimenawa mikono.
 
Mkuu Lets Talk Logic..
Ni kweli kabisa Shingles Ni reactivation ya Chickenpox pale kinga ya mwili inaposhuka..

Nataka kukuuliza kitu Kinga ya mwili hushuka hata kwa Mtu mwenye Kisukari na Cancer..

Nataka uniambie Ni mtu gani mwenye cancer au Kisukari umewahi kumuona akiwa na Shingles bila kuwa na HIV??
Shingles sio Confirmation ya HIV japo ni moja ya dalili inayokuja na Package ya symptoms za HIV.
 
Nakumbuka Miaka ya 2008 mpaka miaka ya 2014 hivi ujana ulinizidia sana 😀😀

Sasa kuna kipindi nikaanza kuumwa kutokana na kielimu cha afya nilichokuwa nacho nikaona hichi kimo mzee..

Ila kwa bahati mbaya nilikuwa nahisi Inaweza kuwa HIV au Hepatitis B Nilichokua naomba Mungu kipindi Hicho bora iwe HIV..😀😀..

Nikapiga moyo konde sasa siku moja nimekaa kaa zangu ifisini nikajipima nikakuta HIV haipo..
Nikavuta Pumzi..

Sasa miaka hiyo serikali wakaja na chanjo ya bure ya hepatitis kwa watumishi Kimbembe kikawa kupima 😀😀😀..

Ila nikakaza moyo nikapima na nikalambwa chanjo zote za Hepatitis..

Sasa ninachokushauri kuna Desturi ya Akili kutengeneza Illusion kutokana na majanga ya nyuma na kukutisha ila ukipima unakuta Hola hauna kitu..
Mkuu yani kwamba bora ukimwi kuliko hepatitis?
 
labda madaktari waje watuambie, uliugua moto miaka 14 iliyopita, umekuja kuungua sasaivi tena, hapo utakuwa nao kweli? ungekuwa umesavaivu hadi leo kama unao? manake hadi unaugua moto ina maana kinga zimepungua mwilini fourteen years ago, ungeshakufa mzee. hapo nenda tu kapime na unaweza usikutwe nao.

Pili, hata kama ukikutwanao, sio mwisho wa kuishi, na hata ukifa, shukuru Mungu atakuwa amekupatia nafsi ya kutengeneza mambo yako na Mungu. Kufa kunauma kibinadamu ila kiroho kufa ni kuzuri kama unakufa mikononi mwa Mungu, though ni hatari na hasara ukifa nje ya mikono ya Mungu, maana yake, Mungu amekuachia opportunity hii badala ya kuhangaika kwenye google, unatakiwa kuhangaika kuokoka, tubu dhambi zako kabidhi maisha yako kwa Yesu ili kama ukiishi uishi mikononi mwake na kama ukifa ufe mikononi mwake. wapo waliokufa gafla hata nafasi ya kutubu hawakupata na wameenda moja kwa moja motoni, usiwe mmojawapo. usichezee opportunity hiyo uliopewa ya kutengeneza mambo yako na Mungu. wengi wanakebehi, wanang'ang'ania dini badala ya wokovu, wanategemea wakifa waombewe na padre ili wasamehewe dhambi, Biblia inasema baada ya kifo ni hukumu, kuan nyakati mwanadamu ukikamatikaaa kwenye kona ukanona hamna namna hapa unakufa, solution inatakiwa kuwa KUTENGENEZA NA MUNGU ili huko unakoenda uende kuzuri. zingatia sana hili.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani. na kama matendo yako yatafuatana nawe, manake ukifa hata padre aombe usamehewe dhambi ukiwa maiti anajisumbua tu, wewe umeondoka na matendo yako, utaenda kuhukumiwa kwa yale uliyoyatenda. kama ulitenda maovu, haukutubu kabla ya kufa, utaenda nayo. wengi wanadharau njia ya wokovu, hawajui kwamba hio ndio njia ya kuwasaidia maisha ya baadaye. dini zimewakaa,wameendelea kuabudu maria, kuabudu wafu, na masanamu, wameacha njia ya wokovu ile ambayo mitume walikua nayo kitabu cha Matendo. katoliki kwa mfano wamefungia watu nira sana kwasababu wanaamini ukifa watakuombea utasamehewa huko uendako, kumbe hakuna kitu kama icho, wanaomba kwa maria, wanaomba kwa wafu, hata humu kuna watu hawatafurahi hiki nilichoandika kwasababu wanaipenda dini yao kuliko ukweli wa Neno la Mungu. cha muhimu mmesikia, na nimenawa mikono.
Amina
 
Nakumbuka Miaka ya 2008 mpaka miaka ya 2014 hivi ujana ulinizidia sana 😀😀

Sasa kuna kipindi nikaanza kuumwa kutokana na kielimu cha afya nilichokuwa nacho nikaona hichi kimo mzee..

Ila kwa bahati mbaya nilikuwa nahisi Inaweza kuwa HIV au Hepatitis B Nilichokua naomba Mungu kipindi Hicho bora iwe HIV..😀😀..

Nikapiga moyo konde sasa siku moja nimekaa kaa zangu ifisini nikajipima nikakuta HIV haipo..
Nikavuta Pumzi..

Sasa miaka hiyo serikali wakaja na chanjo ya bure ya hepatitis kwa watumishi Kimbembe kikawa kupima 😀😀😀..

Ila nikakaza moyo nikapima na nikalambwa chanjo zote za Hepatitis..

Sasa ninachokushauri kuna Desturi ya Akili kutengeneza Illusion kutokana na majanga ya nyuma na kukutisha ila ukipima unakuta Hola hauna kitu..
Hivi mkuu chanjo Hepatitis mtu yeyote anayetaka si anaweza kuchoma?
 
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Baada ya kusoma hadi hapa, then na conclude hii ni chai...

Kama ulipata mkanda wa jeshi, lazima utakuwa ulipimwa na VVU...
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kacheck afya broh kama unao bahc uwanze dozi mapema..
 
Unafaa kuwa mshaur nasaha Ila umekosa vitengo, yani unaongelea HIV kama dada ako vile. Huu ugonjwa umeuwa mabillion mkuu, kaa kimya
Ni kweli takwimu zinatisha!
Je, unajua kwanini takwimu za malaria ambazo ni kubwa mno hazikutishi? ...HOFU
Namna pekee ya kukabiliana na jambo lolote bila kujari ukubwa wake ni kwanza kuishinda HOFU
Sijui ulitaka nishauri kwa kuogofya? kisa takwimu zako! ili iweje? afe haraka au?
Je, hofu yako juu ya kifo ni kubwa kiasi gani?
Siwezi kukaa kimya kwa sabab mi na wewe tunapambana na HOFU
 
Back
Top Bottom