Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Kuna Dokta aliwahi kunambia principle moja kipindi nimelazwa kwasababu ya Mercy alinambia "NEVER GOOGLE ABOUT YOUR HEALTH ISSUES" naitumia mpka Leo na naona inanisaidia
 
Niliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.

Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.

Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.

Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Pole kupima ndo kutatoa suluhisho
 
Kama na mkanda wa jeshi uliumwa basi huo wenyewe
Si lazima! Mkanda wa jeshi ni dalili ya low immunity ambayo inaweza sababishwa na magonjwa mengine kama cancer etc. Muhimu tu akapime.
 
Bahati nzuri hakuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI!
Ka kinga tu kamepwaya kidogo kwa tu virus flan flan.
Tu virus twenyewe tumeshaishiwa maseke ya kukunyanyasa.
Upime au usipime we kula milo ya kukuongezea kinga ya magonjwa yote kama huna tu virus vile.
Uzuri kula kiafya ni gharama ndogo kuliko kula kiuharibifu!
Na 2026 waliotengeneza hizo virus wanaanza kutoa chanjo ili kupisha mradi mwingine unaolipa zaidi utakaoenda sambamba na homa ya ini.
Kuitetea kinga ya mwili wako ni pamoja na kuacha vikamua kinga hasa ngono mchanyato na pombe sulubishi(kunywa kiasi kuipa nafsi utulivu na uchangamfu)
......hapa kayani niko na aliyepatikana na virus vile korofi (kama mbu wa dar) mwaka 1989!, anakula pesa za shirika na ziara za nje zisizoisha!
WHAT YOU HAVE TO FEAR IS FEAR ITSELF!
 
Bahati nzuri hakuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI!
Ka kinga tu kamepwaya kidogo kwa tu virus flan flan.
Tu virus twenyewe tumeshaishiwa maseke ya kukunyanyasa.
Upime au usipime we kula milo ya kukuongezea kinga ya magonjwa yote kama huna tu virus vile.
Uzuri kula kiafya ni gharama ndogo kuliko kula kiuharibifu!
Na 2026 waliotengeneza hizo virus wanaanza kutoa chanjo ili kupisha mradi mwingine unaolipa zaidi utakaoenda sambamba na homa ya ini.
Kuitetea kinga ya mwili wako ni pamoja na kuacha vikamua kinga hasa ngono mchanyato na pombe sulubishi(kunywa kiasi kuipa nafsi utulivu na uchangamfu)
......hapa kayani niko na aliyepatikana na virus vile korofi (kama mbu wa dar) mwaka 1989!, anakula pesa za shirika na ziara za nje zisizoisha!
WHAT YOU HAVE TO FEAR IS FEAR ITSELF!
Unafaa kuwa mshaur nasaha Ila umekosa vitengo, yani unaongelea HIV kama dada ako vile. Huu ugonjwa umeuwa mabillion mkuu, kaa kimya
 
Back
Top Bottom