chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,507
- Thread starter
- #161
Ikigundulika Ninao hofu itakuwa zaidi ya sasaMkuu fanya ukapime ujue tu afy yk utaishi na hofu mpk lin na waswas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikigundulika Ninao hofu itakuwa zaidi ya sasaMkuu fanya ukapime ujue tu afy yk utaishi na hofu mpk lin na waswas
Naon unalazimisha kuambukizwa wakati hujapimaIkigundulika Ninao hofu itakuwa zaidi ya sasa
Wapo wengi amaboa wanatembea sehem hatri anaogop mtuu mawazo mengi hofu mwisho akienda anaambia yupo salama mpk haamini anamuomba dr ampime tenaNaon unalazimisha kuambukizwa wakati hujapima
Kuna Dokta aliwahi kunambia principle moja kipindi nimelazwa kwasababu ya Mercy alinambia "NEVER GOOGLE ABOUT YOUR HEALTH ISSUES" naitumia mpka Leo na naona inanisaidiaNiliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Pole kupima ndo kutatoa suluhishoNiliamka saa kumi usiku baada ya kuona hizi wiki mbili naumwa Kila siku kichwa, nahara, kitambi chote kwishaaa mkanda nimetoboa matundu sita mpya mpaka sasa.
Nikaona kabisa huu ni UKIMWI, kuchukua simu nikaingia gugo nikaandika dalili za ukimwi. Nimesoma naona zote ninazo mpaka kijipu upande wa paja karibu na korodani ninayo wanaita groin nodes.
Wakuu kupima naogopa Vibaya mno, nakumbuka mwaka 2010 niliwahi kupata mkanda wa jeshi naona hili Tena limekuja. Hii ngoma nimekuwa na stress Sana hata kazini kwenda nahisi uvivu.
Muda wote kichwa na misuli inauma nahisi kuchokaaa.
Si lazima! Mkanda wa jeshi ni dalili ya low immunity ambayo inaweza sababishwa na magonjwa mengine kama cancer etc. Muhimu tu akapime.Kama na mkanda wa jeshi uliumwa basi huo wenyewe
Ni kweliSi lazima! Mkanda wa jeshi ni dalili ya low immunity ambayo inaweza sababishwa na magonjwa mengine kama cancer etc. Muhimu tu akapime.
Huenda unazijua njia zako vizuri ndio maana unaogopa sanaNikikutwa Nina ngoma je
Unafaa kuwa mshaur nasaha Ila umekosa vitengo, yani unaongelea HIV kama dada ako vile. Huu ugonjwa umeuwa mabillion mkuu, kaa kimyaBahati nzuri hakuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI!
Ka kinga tu kamepwaya kidogo kwa tu virus flan flan.
Tu virus twenyewe tumeshaishiwa maseke ya kukunyanyasa.
Upime au usipime we kula milo ya kukuongezea kinga ya magonjwa yote kama huna tu virus vile.
Uzuri kula kiafya ni gharama ndogo kuliko kula kiuharibifu!
Na 2026 waliotengeneza hizo virus wanaanza kutoa chanjo ili kupisha mradi mwingine unaolipa zaidi utakaoenda sambamba na homa ya ini.
Kuitetea kinga ya mwili wako ni pamoja na kuacha vikamua kinga hasa ngono mchanyato na pombe sulubishi(kunywa kiasi kuipa nafsi utulivu na uchangamfu)
......hapa kayani niko na aliyepatikana na virus vile korofi (kama mbu wa dar) mwaka 1989!, anakula pesa za shirika na ziara za nje zisizoisha!
WHAT YOU HAVE TO FEAR IS FEAR ITSELF!
Unaujua mkanda wa jeshi athubutu hospital ungeenda kwa huko kuwaka moto.Sikwenda kupima, mm mambo ya kupima Pima hapana, Ila ulikuwa ni mkanda ule maana upele uliwasha mgongoni mpaka kwa babu
Dah kuna brother mmoja alikua na hiyo kitu miaka fulani nilimwonea huruma,maana kilio chake si cha kitoto.Hivi ee? Maana wengi naona wapigwa sana na hii mkanda ya soldier
Nenda hospital ukajue mbivu Na mbichi hukoUnafaa kuwa mshaur nasaha Ila umekosa vitengo, yani unaongelea HIV kama dada ako vile. Huu ugonjwa umeuwa mabillion mkuu, kaa kimya