moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Kweli kabisa mkuu mie nionavyo hapa duniani ni Dini mbili tu zilizonamuelekeo dhabiti ambazo mpaka sasa misimamo yao iko imara ni Wasabato na Waislamu tu wengine tunaenda kupoteza wakati wikendi ishe tu kwasiku
Kwa hiyo mpaka muda huu, matokeo ni sare ya 3-3!Unafki na Uislamu = Maji na samaki.
1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?
2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?
3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?
4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa hao uliowaita chinja chinja ni waislamu, ila huo uchinja chinja sio uislamu, ndg yetu kazungumzia uislamu na sheria zake, sio waislamu na mambo yao!! wapotofu wapo kila dini...Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.
Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.
Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.
#MaendeleoHayanaChama
1.sasa hapa mnafiki ni nani!!!uliishawahi kukuta waislam wanaomba waizike maiti inayosadikika kutelekezwa na wakristo!!mkuu kaa kwa kutulia huujui uislamu bado.Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.
1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.
2.kila kitu kinafanywa kwa kiasi,ukizingatia matamanio ya mwili kuna muda unatamanj kuzini na mke wa jirani yako ila unajizuia sababu ni mwenendo wa ulafi zaidi.2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.
wapo matajiri kibao wana vigezi vya kuwa na mke zaidi ya mmoja na hawafanyi hivyo,sababu ni ile ile ni kujiendekeza tu.Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.
hii sio unafiki ni maandiko mkuu,swala la kufuga kimada limekaa kihuni kabisa wala halihusiani na katazo,maana hata hao jamaa zako pamoja na kuruhusiwa hawaoi wanne wanateleza nje kama kawaida.Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq
kama unazungumzia maandiko sawa,lakini hilo ni swala ambalo ni la Mungu mwenyewe kwa mujibu wa kila upande,unakosea unaposema ni unafiki..Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.
kwahiyo swala la kuhukumu mtu asiyehudhulia ibada akafa mmemwachua Allah,ila kujiita nabii tu mnataka mujitwishe uhakimu wa Allah??kuna unafiki na zaidi ya huu sheikh wangu????3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.
mpira tu wenyewe kwa vigezo vya uislam ni kichocheo cha maasi,kajifunze ni vitendo gani havikubaliki na uislam kwa maana vitachochea maasi na machukizo kwa Allah,mpira ni mmoja wapo.ndio sababu mujahdeen huwa wanaleta fujo sababu waislam wengin mna unafiki.Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga
inabidi ufanye jambo usilimu mkuu,maana ukristo hautabadilika hata siku moja.Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
yani izo mbususu hapo mbenguni ni balaa buluu๐๐ mambo ni buli buli, au nikikaribia kufa na silimuUnafki na Uislamu = Maji na samaki.
1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?
2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?
3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?
4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
1. Je umejiuliza kwa nini dini zingine mtu akifa hazikwi?1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.
2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.
3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.
Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.
Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.
Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.
ore c8
#Maenele
Unaonekana hujatembea.Tembea uone mengi kwanza mtu ataoaje akijijua ni masikini hawezi watimizia haja wake zake kutunza na tamaa za mwili.Arabuni wana wake wengi je ni masikini kama wewe na mimi?Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.
Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.
Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.
#MaendeleoHayanaChama
braza umesababisha nicheke sana ila namba mbili si wongo sijui umejuaje aiseee๐๐๐๐๐Mleta mada nilichogundua suala linalokusumbua wewe sana ni namba 2.
Ukiwaambia waongee kiarabu hawawezi wamekariri vimisemo vyao vya madrasaWananiachaga hoi wale wanaotumia lugha ya tangi wakati wa ibada. Yaani ni usanii mtupu yaani hata wenyewe huwa hawafahamu wanachokiongea
MASHA'ALLAH karibu sana NostradamusEstrademeModerators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.
1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.
2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.
Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.
Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.
3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.
Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga
Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
Hatuko sahihi maana tunahukumu wakati mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MunguHapo kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja, hata mimi niko upande huo. Ila hapo kwenye sheria, hapana aisee! Kuna baadhi ya sheria zao, hazina mantiki kwenye dunia ya wastaarabu.
Kuhusu kuzika watu wasio waumini, nadhani wakristu tuko sahihi.
Wasio waumini tusiwazike kwanini mkuu?Hapo kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja, hata mimi niko upande huo. Ila hapo kwenye sheria, hapana aisee! Kuna baadhi ya sheria zao, hazina mantiki kwenye dunia ya wastaarabu.
Kuhusu kuzika watu wasio waumini, nadhani wakristu tuko sahihi.