Nimegundua dini ya Kiislam haina unafiki

Nimegundua dini ya Kiislam haina unafiki

Kweli kabisa mkuu mie nionavyo hapa duniani ni Dini mbili tu zilizonamuelekeo dhabiti ambazo mpaka sasa misimamo yao iko imara ni Wasabato na Waislamu tu wengine tunaenda kupoteza wakati wikendi ishe tu kwasiku

Hahahha dah we jamaa bhana wasabato ni waislam kasoro nusu
 
Unafki na Uislamu = Maji na samaki.

1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?

2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?

3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?

4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mpaka muda huu, matokeo ni sare ya 3-3!
 
Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.

Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.

Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.

#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli kabisa hao uliowaita chinja chinja ni waislamu, ila huo uchinja chinja sio uislamu, ndg yetu kazungumzia uislamu na sheria zake, sio waislamu na mambo yao!! wapotofu wapo kila dini...
 
Wananiachaga hoi wale wanaotumia lugha ya tangi wakati wa ibada. Yaani ni usanii mtupu yaani hata wenyewe huwa hawafahamu wanachokiongea
 
sheikh wangu
Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.

1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.
1.sasa hapa mnafiki ni nani!!!uliishawahi kukuta waislam wanaomba waizike maiti inayosadikika kutelekezwa na wakristo!!mkuu kaa kwa kutulia huujui uislamu bado.
2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.
2.kila kitu kinafanywa kwa kiasi,ukizingatia matamanio ya mwili kuna muda unatamanj kuzini na mke wa jirani yako ila unajizuia sababu ni mwenendo wa ulafi zaidi.
wanyama unaowatolea mfano hapo hupandana kwa sabau ya uzao tu,ni nyinyi binaadam ndio mnaleta mambo ya nyege nyege na misisimko.kama hakutoshi mmoja wanne watakutoshea wapi!!!!utataka zaidi na zaidi.
Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.
wapo matajiri kibao wana vigezi vya kuwa na mke zaidi ya mmoja na hawafanyi hivyo,sababu ni ile ile ni kujiendekeza tu.
Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq
hii sio unafiki ni maandiko mkuu,swala la kufuga kimada limekaa kihuni kabisa wala halihusiani na katazo,maana hata hao jamaa zako pamoja na kuruhusiwa hawaoi wanne wanateleza nje kama kawaida.
.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.
kama unazungumzia maandiko sawa,lakini hilo ni swala ambalo ni la Mungu mwenyewe kwa mujibu wa kila upande,unakosea unaposema ni unafiki.
3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.
kwahiyo swala la kuhukumu mtu asiyehudhulia ibada akafa mmemwachua Allah,ila kujiita nabii tu mnataka mujitwishe uhakimu wa Allah??kuna unafiki na zaidi ya huu sheikh wangu????
Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga
mpira tu wenyewe kwa vigezo vya uislam ni kichocheo cha maasi,kajifunze ni vitendo gani havikubaliki na uislam kwa maana vitachochea maasi na machukizo kwa Allah,mpira ni mmoja wapo.ndio sababu mujahdeen huwa wanaleta fujo sababu waislam wengin mna unafiki.
Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
inabidi ufanye jambo usilimu mkuu,maana ukristo hautabadilika hata siku moja.
 
Vipi kuhusu mtu aliekufa kwamba masikio yake yanasikia hata akiwa amefukiwa tayari huko ndani ni kweli? Macho hayafanyi kazi wali ulimi lakini sikio husikia kwa wewe hii iko sawa?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Unafki na Uislamu = Maji na samaki.

1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?

2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?

3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?

4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
yani izo mbususu hapo mbenguni ni balaa buluu😂😂 mambo ni buli buli, au nikikaribia kufa na silimu
 
1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.

3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.
1. Je umejiuliza kwa nini dini zingine mtu akifa hazikwi?
2. Hata baada ya ruhusa ya kuoa wengi, mbona kuna mambo mchafu zaidi?.
Maeneo yoye yaliyowahi kaliwa na waarabu kuna wafi.raji na mashoga wengi

3. Dini haina wanaoitwa manabii, ila kuna wanaoitwa Magaidi!. Uliishawahi sikia nabii kapigwa risasi? au kafugwa na wafuasi wake? au kawahimiza wafuasi wake wapige, waue wengine?


KWENYE HIYO HIYO DINI YA KWANZA DUNIANI
USISAHAU NDIO HAO HAO WANAONGOZA KWA CHUKI,VISASI NA MAUAJI.
UMEISHA WAHI SIKIA MATESO WANAYOPATA WAFANYAKAZI WAAFRIKA, INDONESIA, WAHINDI HUKO ARABUNI?
 
Hahahaaa ni sahihi. sema point number mbili hapo kwa hesabu ya sensa na makazi inaonesha hata Mungu hataki tuoe zaidi ya mmoja. Kila mwanaume aoe hata wawili watanzania million 15 itabidi wajipige selfie
 
Mleta mada nilichogundua suala linalokusumbua wewe sana ni namba 2.
 
Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.

Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.

Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.
ore c8
#Maenele

Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.

Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.

Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.

#MaendeleoHayanaChama
Unaonekana hujatembea.Tembea uone mengi kwanza mtu ataoaje akijijua ni masikini hawezi watimizia haja wake zake kutunza na tamaa za mwili.Arabuni wana wake wengi je ni masikini kama wewe na mimi?
 
Duniani ni majuzi tu wametangaza tumefika billion nane
Lakini bado kuna nchi 61 ambazo watu wake wamepungua sana kwa kutokuzaana na sababu zingine labda zinazokataliwa huko kwenye World Cup

Maana yangu ni kuwa ni bora kuoa na kuongeza wake na kuwahudumia kisheria kuliko kupoteza mda na hawara ambae baadae hana hata urithi wa watoto wake.

Kila mmoja afurahie maisha yake na anavyoamini
Ila mimi nikifa kama kawa ikithibitika nimekufa nizikwe haraka popote nilipo
Maana ardhi yote ni sawa tu
 
Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.

1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.

Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.

Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.

3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.

Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga

Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
MASHA'ALLAH karibu sana NostradamusEstrademe
 
Hapo kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja, hata mimi niko upande huo. Ila hapo kwenye sheria, hapana aisee! Kuna baadhi ya sheria zao, hazina mantiki kwenye dunia ya wastaarabu.

Kuhusu kuzika watu wasio waumini, nadhani wakristu tuko sahihi.
Hatuko sahihi maana tunahukumu wakati mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nawashauri, njia nzuri kufahamu DINI za ukristo na Uislamu ni kuamua kuzisoma kwa utulivu bila ya pressure au influence ( OPEN MINDED). Bila ya kujali baba, mama au ndugu familia ni dini gani.

Kila mtu atabeba mzigo Wake . Ukishavuka miaka 18 una fursa ya kufanya maamuzi yako ya "' life after death...'"


Ukiziona logics ...hutajenga jazba na hasira ya kutokana DINI nyingine, bali utaheshimu na kulinda ulicho nacho...
 
Hapo kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja, hata mimi niko upande huo. Ila hapo kwenye sheria, hapana aisee! Kuna baadhi ya sheria zao, hazina mantiki kwenye dunia ya wastaarabu.

Kuhusu kuzika watu wasio waumini, nadhani wakristu tuko sahihi.
Wasio waumini tusiwazike kwanini mkuu?
 
Back
Top Bottom