moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Kweli kabisa mkuu mie nionavyo hapa duniani ni Dini mbili tu zilizonamuelekeo dhabiti ambazo mpaka sasa misimamo yao iko imara ni Wasabato na Waislamu tu wengine tunaenda kupoteza wakati wikendi ishe tu kwasiku
Hahahha dah we jamaa bhana wasabato ni waislam kasoro nusu