Nimegundua dini ya Kiislam haina unafiki

Nimegundua dini ya Kiislam haina unafiki

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.

1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.

Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.

Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.

3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.

Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga

Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
 
Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.

1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.

Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.

Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.

3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.

Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga

Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
Kweli kabisa mkuu mie nionavyo hapa duniani ni Dini mbili tu zilizonamuelekeo dhabiti ambazo mpaka sasa misimamo yao iko imara ni Wasabato na Waislamu tu wengine tunaenda kupoteza wakati wikendi ishe tu kwasiku
 
Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani ukristo na uislamu na kuna dini nyinginezo nchini kwetu za kienyeji,Budha,sikh,Hindu na nyinginezo.Mimi najikita kwenye uislamu peke yake dini ya uislamu haina unafiki kwasababu zifuatazo.

1. Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

2. Suala la kuoa wake wengi ni ukweli ulio wazi kimaumbile hata wanyama kiumbe cha kiume kimejaliwa kuweza kumudu kuwa na wake zaidi ya mmoja.Na ndio maana hata kwenye zizi la ng'ombe dume linakuwa moja tu linahudumia majike hata 30.Unapofanya tendo la ndoa zile mbegu zikitoka zinatoka zaidi ya milioni 300 lakini mwanamke anakuwa na yai moja tu la kutungisha mimba.

Waislam walishaliona hili mapema dini haikatazi kuzidisha mke zaidi ya mmoja japo unatakiwa utimize masharti flani kwanza.Hata hivyo haina maana waislamu wote wana mke zaidi ya mmoja kwa sababu mbali mbali za maisha magumu ila ni ukweli ulio wazi mke mmoja ni kero tunavumilia tu kuogopa gharama.

Sasa kuna dini za wenzetu kwao mke ni mmoja tu anaye nyumbani lakini unakuta pembeni ana kimada ameweka na anakigharimikia kila kitu na hata kumjengea na kuzaa naye na hii anafanya siri viongozi wake wasijue kisa anaogopa atatengwq.Huu ni unafiki mkubwa maana mungu aliye hai anaona unadanganya afadhali waislam wako wazi hawana unafiki kwa jambo hili.

3. Sheria za kislam ziko wazi wazi kabisa na misimamo yao haitetereki na ndio maana huwezi sikia muislam anajiita nabii zama hizi lakini dini zingine siku hizi kuna manabii hadi wanawake na ziko kibiashara zaidi.Akitokea muislam akisema yeye ni nabii adhabu yake mnajua.

Mfano mzuri hili kombe la dunia la nchini Qatar wameweka misimamo yao juu ya kile wanacho amini na wanachotaka bila kuyumbishwa na nchi za magharibi zinazoshabikia Ushoga

Mimi sio muislam lakini hakika nimeipenda misimamo yao
Nafikiri kwenye kuzika ndugu zetu wakristo waache hizo sheria zao, mzike mtu hayo mengine muachie Mungu
 
Nimeisoma kwa sauti watu wamesikia..

mmoja anauliza;
"yeye yupo dini gani?
asije kuwa ni mpagani afu anasumbua vichwa ya watu"
 
Hapo kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja, hata mimi niko upande huo. Ila hapo kwenye sheria, hapana aisee! Kuna baadhi ya sheria zao, hazina mantiki kwenye dunia ya wastaarabu.

Kuhusu kuzika watu wasio waumini, nadhani wakristu tuko sahihi.
Luka 9:60
waacheni wafu wawazike wafu wao
 
Ila hao hao waislamu ndio wazee wa chinja chinja..siku wakikuteka ndio utawajua vzr.

Kuoa wake wengi ni tamaa..na wanaume wenye tamaa huwa hawana maendeleo..wengi masiknini na wamejazana uswahilini.

Na kwakuwa maisha ni magumu na wanatamaa za ngono kazi yao ni kuoa na kuacha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unafki na Uislamu = Maji na samaki.

1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?

2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?

3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?

4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mtu akifa hata kama alikuwa ha sali,alikuwa mnywa pombe,hashiriki kwenye misiba na wenzake lakini waislamu wataungana pamoja kumswalia na kumsetiri mwenzao haraka sana wakiamini atajibu mwenyewe huko mbele ni tofauti na dini zingine hawamsalii na wengine wanazila.

Ongezea: Dini zingine km haushiriki nao wanakuchukulia wewe km MPAGAGANI tu na wao hua hawawaziki wapagani wanawaacha wazikwe na WAPAGANI wenzao,

Ongezea: Dini zingine km umezaa nje ya ndoa bila kutimiza adhima ya kanisa yaan uolewe ndio uzae, hawakuziki maiti yako inasuswa na unachukuliwa km MPAGANI tu na wao hua hawawaziki wapagani hata km ulikua unashiriki kanisani utachukuliwa wewe ni MPAGANI sababu umefanya kinyume na sheria za kanisa, utazikwa na WAPAGANI wenzako
 
Unafki na Uislamu = Maji na samaki.

1. Kufunga ufunge wewe afu umpangie ambaye hajafunga asile chakula mitaani, ni hekima au upumbavu?

2. Duniani pombe ni haramu, lakini peponi ni halali tena kuna bonge la mto wa pombe, unaanzaje kuamini huo utoto?

3. Duniani uzinzi ni marufuku, peponi utatunukiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa kama vikombe vya kahawa, mungu wenu ni kigeugeu akatae jambo duniani na kulikubali peponi?

4....................yapo mengi sana kwanza jitafakari kwa hayo tu.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Anakula kitimoto kwa siri nao ni unafiki
 
Naomba niliweke hili wazi kwa mleta uzi. Ni kwamba DINI haiwezi kuwa na unafiki. Isipokuwa Wanadamu ndiyo WANAFIKI ambao wengi wao wanajificha kwenye vichaka vya dini ili kuhalalisha unafiki wao. Ila ukweli utabki pale pale kwamba....
Mungu hadhihakiwi. Chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Ukipanda unafiki utavuna unafiki.
 
Kama suala ni kumuachia Mungu adeal na mtu wake, Inakuawaje mnashindwa kumwachia Mungu mtu anayeikanyaga au kuchoma msaafu?
Iweje mchague kipi mumwachie mungu na kipi mchukue sheria mkononi
Hakika umemjibu baada ya kufikiri
 
Unafiki kwenye nini? Angalia mavazi wanayovaa wanawake kisha linganisha na mafundisho utagundua kitu. Ukibisha nitaleta picha hapa.
 
Back
Top Bottom