Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Utafiti mkuuOyaa nyie et jamaa anajitetea anasema ni utafiti tu ahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafiti mkuuOyaa nyie et jamaa anajitetea anasema ni utafiti tu ahahahahaha
Ahahahahahhaha sema mwanangu una mambo ya hovyo sanaUtafiti mkuu
Kwahiyo utafiti wangu mnaupuuzia ila ungekuwa wa oxford basi mgeupokea siyo😂😂Hivi ndo mlisema mtoto wa kindergarten wa kenya mmoja sawa na watu wazima wangapi hapa Tz wakuu ...?
Hapana mkuu ndo ukweli aseeAhahahahahhaha sema mwanangu una mambo ya hovyo sana
Ahahhahaha ndo nyie mnabaka mifugo .Kwahiyo utafiti wangu mnaupuuzia ila ungekuwa wa oxford basi mgeupokea siyo😂😂
Tunasubri ufeHapana mkuu ndo ukweli asee
Shekh kamaliza Kila kitu
Mtatangulia wenyewe nakwambiaTunasubri ufe
Kwani uongo mkuu?akili yako unaijua mwenyewe
Mimi na mchumba wangu tunasubiri ufe ujue ili awe mke wa pili hapaMtatangulia wenyewe nakwambia
Ndo ukwel huuHahahaha hatariiiiii 😂
Nipigie baade kidogo nakula 😹Shekh kamaliza Kila kitu
Kwanza upo wapi..........................?
Mimi na mchumba wangu tunasubiri ufe ujue ili awe mke wa pili hapa
Asante sana!Ukatae au ukubali asee huu ndio ukweli. Nasema Kwa sababu ya uzoefu wangu kama mfugaji wa muda mrefu.
Nimefanya tafiti kadhaa kuhusu hili na nimegundua ndivyo ilivyo.
Jogoo hupenda kutembea na majike (makoo) manene ya kuku ni nadra sana kumkuta jogoo kaambatana na kimbau mbau kisichokuwa na minofu ya kutosha.
Nafuga kuku wa kienyeji na chotara mara nyingi hawa chotara wanakuwa ni wanene sana ukilinganisha na kienyeji. Lakini mara nyingi majogoo ya kienyeji huwaacha mitetea ya kienyeji na kuambatana na chotara (sasso)
Nahitimisha Kwa kusema were the same same😂😂🤐
UhakikaAsante sana!
Daa nawaza kwa sauti..sheria zirekebishwe tuwe kama majogoo! Ukikutana na pisi kali unamalizaUhakika