Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #41
Daa nawaza kwa sauti..sheria zirekebishwe tuwe kama majogoo! Ukikutana na pisi kali unamaliza
Uchaguzi tu Wala hukosei vile roho inapendaNa mm vinjoge natumia kwa dharula sana
Zingatia mkuu majogoo yana penda sana mijeke minene na huwa hayachelewi kupandwa na yanagombaniwaUnataka kusema ni sawa mwanaume kutembea na demu aliyejaziajazia idara zote, wowowo, hipsi, chuchu saa sita, sasa hao kimbaumbau nani atawashughulikia ili nao wapate huduma kama hao wengine wanaopata toka kwa majogoo?
Huyo alikuwa anataka kutaga akaingia kwenye net mkuu. kama umewahi fuga sio kitu kigeni kuku kwenda kitandani ama popote pale akiwa kwenye harakati za kutaka kutaga ni picha nilitumia dogo anaye watunzaaisee mbona huyo mtetea kama umemshushia net mkuu