Nimegundua humu jf watu wanapenda kunyanduana sana

Nimegundua humu jf watu wanapenda kunyanduana sana

Humu watu wanachangamsha genge na sio kila mtu anapenda kujadili unachokipenda wewe ndiomana kuna majukwaa mbalimbali

Alafu bro tuache utani wewe hupendi mizagamuo?!! Kwann unaenda kuchungulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Humu watu wanachangamsha genge na sio kila mtu anapenda kujadili unachokipenda wewe ndiomana kuna majukwaa mbalimbali

Alafu bro tuache utani wewe hupendi mizagamuo?!! Kwann unaenda kuchungulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀😀😀😀
 
Katika pitapita zangu za hapa na pale katika kila post za watu tofautitofauti.

Nimegundua wanaume na wanawake wa humu wanaendekeza ngono sana.

Haswa hizi posti za MMU utakuta watu wameposti minyanduano tupu. Sijui in the long run faida yake ni ipi haswa !

Halafu kule kwenye love connect mbona wadada wanaotaka wenza wao ukiwa pm wagumu kureply sana sijui wanataka nn kama sio haya haya mambo.
In the long run, we are all dead.

- John Maynard Keynes
 
Humu watu wanachangamsha genge na sio kila mtu anapenda kujadili unachokipenda wewe ndiomana kuna majukwaa mbalimbali

Alafu bro tuache utani wewe hupendi mizagamuo?!! Kwann unaenda kuchungulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wameendekeza ngono humu.tunakoelekea pabaya.mi napenda kiasi bhana.
 
Back
Top Bottom