Nimegundua humu jf watu wanapenda kunyanduana sana

Nimegundua humu jf watu wanapenda kunyanduana sana

Katika pitapita zangu za hapa na pale katika kila post za watu tofautitofauti.

Nimegundua wanaume na wanawake wa humu wanaendekeza ngono sana.

Haswa hizi posti za MMU utakuta watu wameposti minyanduano tupu. Sijui in the long run faida yake ni ipi haswa !

Halafu kule kwenye love connect mbona wadada wanaotaka wenza wao ukiwa pm wagumu kureply sana sijui wanataka nn kama sio haya haya mambo.
Hata wewe mwenyewe unatatizo zito sana,halafu inaonekana wewe ni mtu unaependa kufuatilia mambo yasiyokuhusu na kuyafanya yako
 
Maendeleo gani bhana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we pambania familia ile vizuri inye vizuri ilale pazuri na hela za just incase ziwepo pia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji15] aiseeee!!! Kwa kweli maendeleo ya nyooko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji15] aiseeee!!! Kwa kweli maendeleo ya nyooko
Si ndo hapo ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€kuandamana hawawezi wanachoweza ni kupiga kelele mtandaoni tu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Maendeleo maendeleo wooi
 
Si ndo hapo [emoji3][emoji3][emoji3]kuandamana hawawezi wanachoweza ni kupiga kelele mtandaoni tu [emoji3][emoji3][emoji3]

Maendeleo maendeleo wooi

Kuandamana mchezo na vitambi vyao vya maharage na ndizi mbivu, wanaweza kukimbia?!! Mazoezi yenyewe ya kusuasua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wao wakae tujadili ni vipi tutakula pesa zao [emoji16]
 
Katika pitapita zangu za hapa na pale katika kila post za watu tofautitofauti.

Nimegundua wanaume na wanawake wa humu wanaendekeza ngono sana.

Haswa hizi posti za MMU utakuta watu wameposti minyanduano tupu. Sijui in the long run faida yake ni ipi haswa !

Halafu kule kwenye love connect mbona wadada wanaotaka wenza wao ukiwa pm wagumu kureply sana sijui wanataka nn kama sio haya haya mambo.
Sensa ya mwisho, yaani miaka 11 iliyopita watanzania mlikua milioni 33 tu
 
Back
Top Bottom