Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

Nimegundua kuna mdada makini humu JF kaweka picha yangu kama avatar yake

Kuna mda humu jf unakuta pic yako imejiweka kwa avatar ya mtu mwingine. Nami kuna siku nilishangaa ila nilikuja gundua ni matatizo ya jf wenyewe.
Sasa ww hujafaya utafiti. Umekurupuka ukadhani unapendwa ptuuuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Niko nayajenga PM huko mamii nitaleta mrejesho wa muvii linaloendelea huko
 
Kuna mda humu jf unakuta pic yako imejiweka kwa avatar ya mtu mwingine. Nami kuna siku nilishangaa ila nilikuja gundua ni matatizo ya jf wenyewe.
Sasa ww hujafaya utafiti. Umekurupuka ukadhani unapendwa ptuuuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
basi hawa Mods watagombanisha watu tehe tehe tehe
 
Back
Top Bottom