Nimegundua kuna member humu anatembea na mke wangu, nitakachomfanya tusilaumiane

Nimegundua kuna member humu anatembea na mke wangu, nitakachomfanya tusilaumiane

Ni
Nimegundua kuna member humu ndani anatembea na mke wangu kutokana na uzi aliouandika humu.
Uzi wenyewe ni huu Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza

Member alieandika huu uzi anatembea na mke wangu, na mke wangu amemdanganya vitu vingi sana kuhusu mimi na kumjaza maneno ya uongo, ikiwemo ya kwamba nilimkuta bikra.

Pamoja na hayo, huyu jamaa ni wale wanaume marioo wanaopenda kulelewa kwani amekua akipewa pesa na mke wangu, pesa ambazo mimi nazitafuta kwa jasho na damu, yeye anazila kirahisi tu. Nilishashtukia kuwa kuna mtu ananilia vyangu kutokana na mabadiliko ya tabia kwa mke wangu, pamoja na kuwa na matumizi makubwa ya pesa ninayompa bila maelezo ya kujitosheleza.

Leo nimehakikisha na kumjua mbaya wangu. Sitaki kuzungumzia mapungufu ya huyo mwanamke hapa, ila tu nawataarifu kuwa kwa nitakachomfanyia huyu jamaa tusije tukalaumiana kabisa.

Nitamuonyesha kuwa mali ya mwanaume hailiwi bure. Kinachokwenda kumpata atahadithia hadi wajukuu zake.

Nimemaliza.

Unaweza pia kusoma >> Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka
aibu sana mwanaume kugombea mwanamke.. Ni fedheha sana mwanaume kuvurugwa akili na mwanamke..
 
Sasa usha t%mbewa mke hapa una lia lia nini , hebu imagine vile ana chanua miguu mwamba ana kipitisha
 
Nimegundua kuna member humu ndani anatembea na mke wangu kutokana na uzi aliouandika humu.
Uzi wenyewe ni huu Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza

Member alieandika huu uzi anatembea na mke wangu, na mke wangu amemdanganya vitu vingi sana kuhusu mimi na kumjaza maneno ya uongo, ikiwemo ya kwamba nilimkuta bikra.

Pamoja na hayo, huyu jamaa ni wale wanaume marioo wanaopenda kulelewa kwani amekua akipewa pesa na mke wangu, pesa ambazo mimi nazitafuta kwa jasho na damu, yeye anazila kirahisi tu. Nilishashtukia kuwa kuna mtu ananilia vyangu kutokana na mabadiliko ya tabia kwa mke wangu, pamoja na kuwa na matumizi makubwa ya pesa ninayompa bila maelezo ya kujitosheleza.

Leo nimehakikisha na kumjua mbaya wangu. Sitaki kuzungumzia mapungufu ya huyo mwanamke hapa, ila tu nawataarifu kuwa kwa nitakachomfanyia huyu jamaa tusije tukalaumiana kabisa.

Nitamuonyesha kuwa mali ya mwanaume hailiwi bure. Kinachokwenda kumpata atahadithia hadi wajukuu zake.

Nimemaliza.

Unaweza pia kusoma >> Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka
Mke anauma mno. Yani nakwambiaje ukimdaba mbabubue haswa na umbandue ww mwenyewe. Hakikisha hauachi ushahidi wwte
 
hapa naotea kuna kifiro kitajitokeza
Nimegundua kuna member humu ndani anatembea na mke wangu kutokana na uzi aliouandika humu.
Uzi wenyewe ni huu Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza

Member alieandika huu uzi anatembea na mke wangu, na mke wangu amemdanganya vitu vingi sana kuhusu mimi na kumjaza maneno ya uongo, ikiwemo ya kwamba nilimkuta bikra.

Pamoja na hayo, huyu jamaa ni wale wanaume marioo wanaopenda kulelewa kwani amekua akipewa pesa na mke wangu, pesa ambazo mimi nazitafuta kwa jasho na damu, yeye anazila kirahisi tu. Nilishashtukia kuwa kuna mtu ananilia vyangu kutokana na mabadiliko ya tabia kwa mke wangu, pamoja na kuwa na matumizi makubwa ya pesa ninayompa bila maelezo ya kujitosheleza.

Leo nimehakikisha na kumjua mbaya wangu. Sitaki kuzungumzia mapungufu ya huyo mwanamke hapa, ila tu nawataarifu kuwa kwa nitakachomfanyia huyu jamaa tusije tukalaumiana kabisa.

Nitamuonyesha kuwa mali ya mwanaume hailiwi bure. Kinachokwenda kumpata atahadithia hadi wajukuu zake.

Nimemaliza.

Unaweza pia kusoma >> Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka
 
Leo nimehakikisha na kumjua mbaya wangu. Sitaki kuzungumzia mapungufu ya huyo mwanamke hapa, ila tu nawataarifu kuwa kwa nitakachomfanyia huyu jamaa tusije tukalaumiana kabisa.
Kuwa makini unapofanya maamuzi ya hasira, kumbuka hasira ni hasara
 
Jiulize tu ukishamfanyia ubaya utapata faida gani au ndio unahisi huyo Malaya wako atajirekebisha. Matatizo yetu ya kutoridhishana mnataka kuharibia watu maisha Yao.
Mkuu ushavuliwa nguo kwa hekima we chutama.
 
Imagine unatoa huu mkwara mbyzi afu anatokea mtu anaefanya kweli unajiingiza kwa matatizo kwa kujifanya we ndio wewe. Pole Sana bro
 
Jiulize tu ukishamfanyia ubaya utapata faida gani au ndio unahisi huyo Malaya wako atajirekebisha. Matatizo yetu ya kutoridhishana mnataka kuharibia watu maisha Yao.
Mkuu ushavuliwa nguo kwa hekima we chutama.
Na kwa nini ule mke wa mtu ?


Kila siku tunawakanya hivi vitu ni real ukishikwa lazima ufanyiwe unyama

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga dili na mkeo kwanini anachepuka?

Huyo marioo kafanyaje? Anamakosa gani kumla mkeo? Mimi sioni kosa lake hapo
 
Back
Top Bottom