Nimegundua kuwa Wanawake wana akili ya kutumia pesa vizuri kuliko sisi

Hawana matumizi , maana kila kitu wananunuliwa tu,

Utaowa mke anafanya kazi nanwewe unafanya kazi, wote mnapata mshahara, lakini kila mwisho wa mwezi bajeti ya nyumbani pesa zinatumika zako mwanaume, za mwanamke anaziweka tu na wakati mwingine nauri ya kwenda kazini bado unampa, hapo unatarajia nini?
 
Anaziweka akiwa na malengo,hawezi weka pesa bila malengo,siku jifanye umekwama huna kitu uone kama hamtakula.By the way bajeti ya nyumbani ni majukumu yako pia,usilalamike
 
mzee baba waliumbwa ivo, Mungu alikuwa anamaana sana kuwaumba ivo,,

pale umeoa mke sio mshahara

jukumu lako kumpa chochote
 
Ila usituamini sana wanawake mkuu unaweza ingizwa choo cha kike wapo wanaobana matumizi kwaajili ya maendeleo kweli una wengine wanabana matumizi kwaajili ya kufanya ushenz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…