instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Ni utamaduni wa muda mrefu katika kabila la wahaya kunyoa nywele zao tena wengine kipara kabisa kama watu wafuatao wakifiwa
Mjane
Watoto wa marehemu
Ndugu wa damu mtu akitaka
lakini hasahasa akiwa mkewe na ndugu yaani kaka au dada wa marehemu pale mda wa kuanua matanga unapokwisha
Turudi Kwa Nandi huyu naye amenyoa Una maana alikuwa na uhusiano gani Kwa boss Ruge? Au ni mjane wake? Aa kumbe inawezekana ikawa kweli
Pole Sana nandy Kwa kupoteza Mme wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjane
Watoto wa marehemu
Ndugu wa damu mtu akitaka
lakini hasahasa akiwa mkewe na ndugu yaani kaka au dada wa marehemu pale mda wa kuanua matanga unapokwisha
Turudi Kwa Nandi huyu naye amenyoa Una maana alikuwa na uhusiano gani Kwa boss Ruge? Au ni mjane wake? Aa kumbe inawezekana ikawa kweli
Pole Sana nandy Kwa kupoteza Mme wako
Sent using Jamii Forums mobile app