Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

mhh sema kweli tu kuwa ulimgonga
 
Nahisi wanatumia sana pombe kutimiza haja zao.
Mimi siwezi yani kwasasa sitaki hata kumuona nikiwa ndan akinigongea mlango sifungui
Pombe ni kisingizio ili ukizingua aje akuambie nlilewa samahan..na ukizidiwa ww uatakutafuna vile vile
 

daaah wanaume kwa sasa wamepungua mimi juzi kimetokea kisa kama hicho tena kwa mtu mzima kabisa Mzee mwenye mji wake na ninamuheshimu sana eti anaomba nimtumie picha ya dyudyu.daaah nikasema Yesu arudi tu.
 
Mmh. Inasikitisha sana.

Ila huwa nasikia wengine wana hadi wake na watoto huku upande wa pili ni mapun*a.
Emmyta wapo wengi tu,wenyewe wapogongwa beki wanakuwa wanachajiwa na lazima demu wake awe chumba kingine cha karibu,jamaa akiishapizi tu tu anakimbilia chumba kingine kumshughulikia demu wake
 
Emmyta wapo wengi tu,wenyewe wapogongwa beki wanakuwa wanachajiwa na lazima demu wake awe chumba kingine cha karibu,jamaa akiishapizi tu tu anakimbilia chumba kingine kumshughulikia demu wake
Duuh. Kazi wanayo aisee.
 
Hadithi tu hizi za kujipa kiki!!

Ninaweza kuamini kuwa umei -fabricate hii hadithi ili kujipa utakatifu na ujiko kuwa ulitongozwa ukanyofoa.

Possibly wewe ndio huyo dogo, ukapewa blow job ukapiga blah blah hapo ukakwepesha kwepesha.

NATAKA NIKUTHIBITISHIE KUWA WEWE NI MNAFIKI NA SHETANI...

Nifuate hapa.....

Umesema "dogo" anatumia simu ya tochi na aliahidiwa kununuliwa smartphone, sio?

Ukasema ulisikia maongezi ya VOICE NOTE (a WhatsApp feature) jinsi dogo alivyokuwa anabembelezwa na huyo "jamaa" na ukasema maongezi yao yalikuwa disgusting, na ukafedheheka, sio?

Simu ya torch ina uwezo wa kurekodi voice note?

Wewe ni muongo na mlawiti.

Umemlawiti na nafsi ikakusuta ukaanza kutengeneza wahusika wa kufikirika.

Don't worry, you are not gay, ulikuwa unajifunza tu na usirudie.
 
Lakini dogo ulimwambia wewe kwamba aende ili athibitishe na akuletee majibu. Maana ulipokuwa na utata huenda uliamini labda jamaa ni kinyume cha mawazo yako.

Kikombe hicho umeshindwa kukiepuka wewe na rafiki yako.
 
Huyo dogo wako nae punga straight man hawezi mkiss mwanaume mwengine kum@make
 
Na nyie pia kazi mnayo mnajifanya mnakimbilia six pack ndio mtaisoma namba unakuwa na jamaa yako bwabwaaa
Hahahaaa. Nimejikuta nacheka ulichoandika mkuu.

Mie nadhani hiyo inatokea tu hakuna cha sixpack wala wenye vitambi ni tabia tu ya mtu.
 
Hizo mambo zipo sana skuiz, kunajamaa nilisoma nae chuo zamani yeye alikua mchaga mim mtu watanga, alikua anantania sana kua sisi watu watanga ndio mivhezo
 
Hizo mambo zipo sana skuiz, kunajamaa nilisoma nae chuo zamani yeye alikua mchaga mim mtu watanga, alikua anantania sana kua sisi watu watanga ndio michezo yetu nikawa namchukulia kua jamaa anatania. Kuna sku alikosea sms ikaja kwangu ndo nkashtukia kua jamaa sio rizik naushikaji ukaishia apoapo
 
Akijibu hii hoja nitag
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…