Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Kama miaka miwili nyuma kuna jamaa alinikuta ofisini akaniambia yeye mgeni hapa town akawa ananiuliza sana maeneo ya hapa mjini kati.mara klabu iko wapi au logde nzuri nikampa maeleke vizuri mwishowe anaondoka akaniomba namba nikampa.
Alivyotoka tu akanipigia naitwa godlove vipi leo tunaweza kwenda klabu??!!nikachomoa
Kesho akanipigia tena njoo breakfast sehem flan nkaenda!
Akawa mtu wa kunisifia ooohh nimependa flag yako ulivyo tall white afu shombe flan!
Nikawa nacheka najua mshkaji ananionea donge tuu anatamani awe mimi!
Basi ikapita siku 2 mara vocha za buku5 daahh nikaanza kupata mashaka na huu ushkaji.
siku hiyo mchana jpili akanipigia njoo sehemu tule supu samaki.
Nikaenda anasifia hii supu safi sana ukinywa unamkaza mtu hadi analegea wiki nzima!
Mara oohh **** wako mkubwa ee una inch ngapi??
Hapo bia zimeanza kunywewa!
Nikaona hapa leo nisipoangalia nitamlawiti mtu ngoja!!
Nikamtumia mshkaji meseji aje hapo aekt kama amenishtukiza bahati mbaya afu aniombe tuongee ishu pembeni!
Mshkaj akaja tukajifanyisha pale kama hatujaonana mwaka vile ile kusogea tuongea ndo tukaishia hivyo!akawa kachukia na meseji za kunilaum nikaona poa bora lawama kuliko fedheha
Nipe namba yake...nimtembeze vizuri dar...
 
Umeamua kumfanya mdogo wako nae awe punga samahani ila utaelewa hapo baadae
Siyo mdogo wangu by blood ni dogo tu nimemfahamu kitambo.
Dogo mwenyewe kapinda akiwa form two tayari alikuwa na watoto wawili mwaka 2012.
Dogo mtu wa tungi na club shule aliacha form two now anafanya issue nyingine tu na kuja kwake kwangu ni kwasababu uwa namtumia kwenye issue za kiufundi.
So either way alikuwa yuko kwenye research yake ya kimya kimya ina maana nisingempa kisa changu huenda hata asingeniambia chochote.
 
Mmh. Inasikitisha sana.

Ila huwa nasikia wengine wana hadi wake na watoto huku upande wa pili ni mapun*a.
Huyu ana mchumba ni mzuri kweli yani sana na alisema wanafunga ndoa mwezi wa sita.
Pia ana mtoto wa kike ana miaka tisa
 
Kuna idadi kubwa sana ya wanaume kugeuka kuwa wanawake.

Nakumbuka 2015 nikiwa ofisi moja nilikuwa napewa taarifa za jamaa mmoja anafanya kazi kwenye ile ofisi ni Shoga kiukweli huna wakosa hamu na hawa viumbe ninaposikia mtu anajibadili kuwa mwanamke, Basi yule jamaa alikuwa kaenda likizo ya kikazi alivyorudi tukapangwa kufanya kazi pamoja, siku moja tukiwa kwenye kikao cha wafanyakazi akaanza wangapi hapa wanatumia pombe nikajua tayari kund. U limewasha maana tulikuwa pale kama wafanyakazi 4 hivi wageni ila mimi taarifa zake nilikuwa nazo zote wanaume wakanyoosha mikono watumiaji wa pombe.


Usiku si mmoja kati ya wale wafanyakazi akaenda nae kunywa pombe baada ya pombe kukolea jamaa wakaondoka kwenda kwake (kilichotokea wanajua wenyewe) aliwahi kukamuliwa Lodge moja na wasanii 2 wakubwa tu hapa nchini kwenye tamasha.


Kiukweli bora nirudi kupiga punyeto ila sio kufanya ujinga wa namna hii wanawake watamu sana.
 
Siyo mdogo wangu by blood ni dogo tu nimemfahamu kitambo.
Dogo mwenyewe kapinda akiwa form two tayari alikuwa na watoto wawili mwaka 2012.
Dogo mtu wa tungi na club shule aliacha form two now anafanya issue nyingine tu na kuja kwake kwangu ni kwasababu uwa namtumia kwenye issue za kiufundi.
So either way alikuwa yuko kwenye research yake ya kimya kimya ina maana nisingempa kisa changu huenda hata asingeniambia chochote.
Huyo Jamaa yako nae ni wale wale atakuja kugeuka na yeye baada ya kugeuza wenzake.
 
Kuna idadi kubwa sana ya wanaume kugeuka kuwa wanawake.

Nakumbuka 2015 nikiwa ofisi moja nilikuwa napewa taarifa za jamaa mmoja anafanya kazi kwenye ile ofisi ni Shoga kiukweli huna wakosa hamu na hawa viumbe ninaposikia mtu anajibadili kuwa mwanamke, Basi yule jamaa alikuwa kaenda likizo ya kikazi alivyorudi tukapangwa kufanya kazi pamoja, siku moja tukiwa kwenye kikao cha wafanyakazi akaanza wangapi hapa wanatumia pombe nikajua tayari kund. U limewasha maana tulikuwa pale kama wafanyakazi 4 hivi wageni ila mimi taarifa zake nilikuwa nazo zote wanaume wakanyoosha mikono watumiaji wa pombe.


Usiku si mmoja kati ya wale wafanyakazi akaenda nae kunywa pombe baada ya pombe kukolea jamaa wakaondoka kwenda kwake (kilichotokea wanajua wenyewe) aliwahi kukamuliwa Lodge moja na wasanii 2 wakubwa tu hapa nchini kwenye tamasha.


Kiukweli bora nirudi kupiga punyeto ila sio kufanya ujinga wa namna hii wanawake watamu sana.
Nahisi wanatumia sana pombe kutimiza haja zao.
Mimi siwezi yani kwasasa sitaki hata kumuona nikiwa ndan akinigongea mlango sifungui
 
Huyo mpenzi wake sijawahi kumuona live zaidi ya picha za kwenye simu na sebuleni maana anafanya kazi mkoani huko
Nitumie picha ya mpenzi wake nile sasa tutaacha kula wanawake kweli tuanze kuhangaika na madume kweli????
 
Nitumie picha ya mpenzi wake nile sasa tutaacha kula wanawake kweli tuanze kuhangaika na madume kweli????
Mkuu sina ila ni mfanyakazi wa wizara flani jina kapuni mdada wa maana sana sasa sijui anajua kuwa bwanake anapakuliwa
 
Mkuu sina ila ni mfanyakazi wa wizara flani jina kapuni mdada wa maana sana sasa sijui anajua kuwa bwanake anapakuliwa
Okoa huyo dada asiingie kwenye ndoa na shoga kama noma iwe noma ila kama huyo dada ni msagaji basi wataendana
 
Huyu ana mchumba ni mzuri kweli yani sana na alisema wanafunga ndoa mwezi wa sita.
Pia ana mtoto wa kike ana miaka tisa
Duuh. Pole kwa huyo mdada sababu akija kuwa mke lazima apate wasaidizi tu wa kumshughulikia pindi mume akizidiwa.

Ila kuna vitu vinasikitisha sana aisee.
 
Okoa huyo dada asiingie kwenye ndoa na shoga kama noma iwe noma ila kama huyo dada ni msagaji basi wataendana
Kwa maelezo yake wako wote toka 2013 na kuna kipindi walikuwa wanaish wote sasa sijui anawezaje kutogundua
 
Back
Top Bottom