Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Dunia ndo imeisha hivyo...! Pole yetu sisi tunaopeleka watoto boarding ilhali bado wadogo sana,huko ndo hujifunzia hayo mambo.....
 
Yani nahisi ndivyo walivyo jamaa anajikuta ana roho nzuri sana.
Huyo dogo ana simu ya kitorch kila siku alikuwa anamwambia ntakununulia smart phone sijui hiyo tv yangu nimeichoka kama waitaka kaichukue.
Yani yana style ya kuwanasa watu
Ila sipati jibu hawa mashoga hata kama hana kazi huwa yana hela kuliko wee kidume???!!!sijui huwa yanatoa wapi huwezi kumkuta shoga choga mbaya asee sijui huwa wanavuna biko wapi
 
Akijibu hii hoja nitag
Hawezi kujibu huyo!!

Naelewa tabia zao hawa , wakitongozwa na mashoga huwa wanajiinua viburi vyao na kujipa ujiko. (ego) .

(Sijui huwa wanajisikia raha sana kuhusu hilo ama)???

Mara nilitongozwa nikakimbia, blah blah....

I haven't heard anyone confessing for having fucked a fag....

Hizi ni stori tu za kijinga zilizofichwa juu ya unafiki wa juu sana.

Utakuta huyu naye ni basha ila kajibaraguza weee katengeneza kijihadithi chenye wahusika bandia.... eti dogo??

😀

Foolish.
 
Mbona inaonekana kama unatafuta uungwaji mkono hapa jf ukazibue chooo? Ww kajipigie kiroho safi acha ujinga
 
We kweli unasoma na unajiongezea ambavyo sijasema au uwa unadhani voice note zinapatikana whatsapp tu.
Chukua simu yoyote isiyo na whatsapp hizi tecno ndogo hizi feature phone ingia extra kuna app ya voice recording.
Siku kwa ajili ya kukuaminisha ni uamuzi wako kuamini au kutoamini.
Kuna mengi ya kujipa nayo kiki ila hili siyo moja wapo
 
Lakini dogo ulimwambia wewe kwamba aende ili athibitishe na akuletee majibu. Maana ulipokuwa na utata huenda uliamini labda jamaa ni kinyume cha mawazo yako.

Kikombe hicho umeshindwa kukiepuka wewe na rafiki yako.
No mimi sikunwambia akathibitishe hata ile kumwambia aende sikuwa namwambia aende akathibitishe ila nilikuwa namaanisha aende akale ulabu maana dogo anapenda sana ulabu.
Mimi sikuwa na hamu ya ulabu tena maana si mpenzi wa pombe kali mimi zangu bia na sweet wine hayo ma grants sijui konyagi sijui nini hayapandi hata nikinywa ni kujiforce tu
 
Ila sipati jibu hawa mashoga hata kama hana kazi huwa yana hela kuliko wee kidume???!!!sijui huwa yanatoa wapi huwezi kumkuta shoga choga mbaya asee sijui huwa wanavuna biko wapi
Yes hata yeye ni hivyo ana vijisent sasa kazi anayoifanya sasa.
Ngoja niishe hapa maana navyozidi sema si ajabu kuna mtu anamfahamu na disclose his identity maana kazi yake si kazi ambazo watu wengi wamezoea kuskia ni kazi adimu adimu
 
Mbona inaonekana kama unatafuta uungwaji mkono hapa jf ukazibue chooo? Ww kajipigie kiroho safi acha ujinga
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea ...
Hayo maneno ya afande sele lakini yana ukweli ndani yake
 
Narudia tena kama wewe ukitongozwa na shoga wajivunia waona kama ni kiki, basi ni wewe mimi kwangu ni mkosi kutongozwa na shoga.
Sikulazimishi kuamini unaweza kuamini ulivyoamua kuamini siyo tatizo...
 
Pengine pia hakukosea sms alikuwa anakujulisha kuwa Yeye ni Choko
 
Mdogo wako naye ni gay, kama alinyonwa dhakari inamaana ali simamisha kama alisimamisha basi alivutiwa kama livutiwa ina maanisha kwamba ni yuko attracted na wanaume, siajabu alimgonga , ila kakudanganya , hata wewe na wasiwasi nawe pia ina wezekana ume kuka kiboga hicho .
 
Unababaika tu.

Tena nyie mnaokomalia ushoga kwa mbwembwe na kugaragara ndio huwa mashoga wakubufu.

Jitazame sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…