Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Naye alikuwa na element za kigay?

Ndo maana mazoea ya fastafasta mi siyapendi

Kuna siku nimeenda zangu uwanjan kutulia(UD) baada ya mda flanflan hv akaja bwana mdogo flan hv lainlain flan hv nae anasoma apa chuo kunambia nimpigepige picha
Asee ayo mapozi sasa ya kupiga picha nilichoka, serious mwanaume unapiga picha unainama duh!!
Baada ya apo akawa ananiulizauliza maswalamaswala mengimengi nikamwambia mi sisomi apa ili kutoa uzoefu wa harakaharaka
Baadae anataka kuondoka akaniomba namba
Frsh nikampa
Baada ya apo goodnytgudnyt nyingi na kunitaftatafta kwingi2. Na profile pic za ajabajab2
Siku ananipigia ananambia yuko pekeake niendepo kwake, duh!
 
Au inawezekana kapigwa yeye Jamaa Labda alikuwa anamvuta aingie kwenye kilengeo
Jamaa nikianza reflect ukikaa naye anavyo behave sina shaga ndiye shoga.
Anapenda kung'ata lips ya chini, kuna sometimes anarusja rusha vidole akiwa anaongea kama wakina dada, halafu kuna kivoice note dogo alimrekodi wakati anamlilia amebana sauti ka demu anamwambia dogo kwanini anakataa anamuumiza asimfanyie hvyo asiondoke yani it is soo disgusting..
 
Kama miaka miwili nyuma kuna jamaa alinikuta ofisini akaniambia yeye mgeni hapa town akawa ananiuliza sana maeneo ya hapa mjini kati.mara klabu iko wapi au logde nzuri nikampa maeleke vizuri mwishowe anaondoka akaniomba namba nikampa.
Alivyotoka tu akanipigia naitwa godlove vipi leo tunaweza kwenda klabu??!!nikachomoa
Kesho akanipigia tena njoo breakfast sehem flan nkaenda!
Akawa mtu wa kunisifia ooohh nimependa flag yako ulivyo tall white afu shombe flan!
Nikawa nacheka najua mshkaji ananionea donge tuu anatamani awe mimi!
Basi ikapita siku 2 mara vocha za buku5 daahh nikaanza kupata mashaka na huu ushkaji.
siku hiyo mchana jpili akanipigia njoo sehemu tule supu samaki.
Nikaenda anasifia hii supu safi sana ukinywa unamkaza mtu hadi analegea wiki nzima!
Mara oohh **** wako mkubwa ee una inch ngapi??
Hapo bia zimeanza kunywewa!
Nikaona hapa leo nisipoangalia nitamlawiti mtu ngoja!!
Nikamtumia mshkaji meseji aje hapo aekt kama amenishtukiza bahati mbaya afu aniombe tuongee ishu pembeni!
Mshkaj akaja tukajifanyisha pale kama hatujaonana mwaka vile ile kusogea tuongea ndo tukaishia hivyo!akawa kachukia na meseji za kunilaum nikaona poa bora lawama kuliko fedheha
Yani nahisi ndivyo walivyo jamaa anajikuta ana roho nzuri sana.
Huyo dogo ana simu ya kitorch kila siku alikuwa anamwambia ntakununulia smart phone sijui hiyo tv yangu nimeichoka kama waitaka kaichukue.
Yani yana style ya kuwanasa watu
 
Ipo Sana hii siku izi,me Kuna mijamaa Kama mitatu ishanifata insta dm inataka kusuguliwa
Nkawaambia hiyo kwangu Haram kubwa siwezi ata iweje,eti ipo sorry Yani tupo ivi ila eti Tanzania wanapata shida sana kupata wa kuwashughulikia dah
 
Aisee ikiwezekana hama hapo,hao jamaa huwa hawakati tamaa unaweza jikuta unaingia king hivi hivi.
Kuna sehemu alikotoka uwa anasema kuna mambo yalitokea ikabidi aondoke pale aache hata kodi sasa nimeanza kuhisi huenda habari zake zilivuja.
Halafu rafiki yake jamaa flani maarufu hapa mjini naye uwa kuna rumours kuwa anabokolewa nishamuona mara 2 anakuja mtembelea
 
Mmh. Inasikitisha sana.

Ila huwa nasikia wengine wana hadi wake na watoto huku upande wa pili ni mapun*a.

Wanaitwa Sigara kali unavuta kote kote
Au Shombe shombe nusu rijali nusu choko
 
Back
Top Bottom