Ahmed _ba'juun
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 251
- 200
Mwenye uzi nipe namba za huyo mjamaa pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙁😉Kwenye wimbo wa zilipendwa kuna sehemu wanaimba
"Wengine wabeba vyuma na hakuna marindaaa"...
Naye alikuwa na element za kigay?
Ndo maana mazoea ya fastafasta mi siyapendi
Kuna siku nimeenda zangu uwanjan kutulia(UD) baada ya mda flanflan hv akaja bwana mdogo flan hv lainlain flan hv nae anasoma apa chuo kunambia nimpigepige picha
Asee ayo mapozi sasa ya kupiga picha nilichoka, serious mwanaume unapiga picha unainama duh!!
Baada ya apo akawa ananiulizauliza maswalamaswala mengimengi nikamwambia mi sisomi apa ili kutoa uzoefu wa harakaharaka
Baadae anataka kuondoka akaniomba namba
Frsh nikampa
Baada ya apo goodnytgudnyt nyingi na kunitaftatafta kwingi2. Na profile pic za ajabajab2
Siku ananipigia ananambia yuko pekeake niendepo kwake, duh!
mkamle.................kwa hiyo sisi tufanyaje
Huyo dogo atakuwa kapiga mzigo hataki tu kufunguka.
Ndio hivyo....!!!hii habari imeniumiza sana.....hiv wanaanza mpka wanakuwa wanapenda hako kamchezo jumla....ni kwamba ukifanyiwa first tym inakua ndo kama ugonjwa au....??
Jamaa nikianza reflect ukikaa naye anavyo behave sina shaga ndiye shoga.Au inawezekana kapigwa yeye Jamaa Labda alikuwa anamvuta aingie kwenye kilengeo
Yani nahisi ndivyo walivyo jamaa anajikuta ana roho nzuri sana.Kama miaka miwili nyuma kuna jamaa alinikuta ofisini akaniambia yeye mgeni hapa town akawa ananiuliza sana maeneo ya hapa mjini kati.mara klabu iko wapi au logde nzuri nikampa maeleke vizuri mwishowe anaondoka akaniomba namba nikampa.
Alivyotoka tu akanipigia naitwa godlove vipi leo tunaweza kwenda klabu??!!nikachomoa
Kesho akanipigia tena njoo breakfast sehem flan nkaenda!
Akawa mtu wa kunisifia ooohh nimependa flag yako ulivyo tall white afu shombe flan!
Nikawa nacheka najua mshkaji ananionea donge tuu anatamani awe mimi!
Basi ikapita siku 2 mara vocha za buku5 daahh nikaanza kupata mashaka na huu ushkaji.
siku hiyo mchana jpili akanipigia njoo sehemu tule supu samaki.
Nikaenda anasifia hii supu safi sana ukinywa unamkaza mtu hadi analegea wiki nzima!
Mara oohh **** wako mkubwa ee una inch ngapi??
Hapo bia zimeanza kunywewa!
Nikaona hapa leo nisipoangalia nitamlawiti mtu ngoja!!
Nikamtumia mshkaji meseji aje hapo aekt kama amenishtukiza bahati mbaya afu aniombe tuongee ishu pembeni!
Mshkaj akaja tukajifanyisha pale kama hatujaonana mwaka vile ile kusogea tuongea ndo tukaishia hivyo!akawa kachukia na meseji za kunilaum nikaona poa bora lawama kuliko fedheha
Lolote liliweza kutokea maana si kwa ahadi hizo.Au inawezekana kapigwa yeye Jamaa Labda alikuwa anamvuta aingie kwenye kilengeo
Aisee ikiwezekana hama hapo,hao jamaa huwa hawakati tamaa unaweza jikuta unaingia king hivi hivi.Ni kitu ambacho siwez kufanya kwanza mimi siyo mnywaji pombe kihivyo hasa pombe kali.
Yani huyo mazoea ndiyo yameishia hapo full kufunga vioo
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Huyo dogo atakuwa kapiga mzigo hataki tu kufunguka.
Kuna sehemu alikotoka uwa anasema kuna mambo yalitokea ikabidi aondoke pale aache hata kodi sasa nimeanza kuhisi huenda habari zake zilivuja.Aisee ikiwezekana hama hapo,hao jamaa huwa hawakati tamaa unaweza jikuta unaingia king hivi hivi.
Mmh. Inasikitisha sana.
Ila huwa nasikia wengine wana hadi wake na watoto huku upande wa pili ni mapun*a.