Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Nimegundua kwamba jirani yangu mchicha mwiba

Unababaika tu.

Tena nyie mnaokomalia ushoga kwa mbwembwe na kugaragara ndio huwa mashoga wakubufu.

Jitazame sana!
Ivi kwa akili yako shoga anaweza kupinga ushoga
Fikiria2 acha jazba

Patia picha unaipenda CCM, kweli unaweza kuiponda kwenye mitandao eti kisa unaipenda

Kweli hili jukwaa ni kama akili zetu zinaelea na huwezi jua huyu ni nan na yule ni yupi unlike facebook au insta
Sikuzote binadam hutetea upande wake

Naanza kuhisi labda we ni moja wao ko inakuchoma wa2 wakiwaponda, au oneway or another hilo jambo limekukumba
 
Dunia ya sasa ina Wanaume ni wachache sana
Kwa kweli tumekuwa wachache, ila sababu ya utandawazi nayo imewafanya kuibuka kwa kasi...
Hii ipo sana zaidi sehemu za kishuwa, kuanzia Dar, Mwanza mpaka Arusha, tena wazazi wao wana uwezo kufa mtu..
Hatari sana..
 
Kama vipi waacheni wapate gratification zao na fantasy , kama ana fanya kazi ana saidie uchumi wa nchi na an timiza wajibu wake kwa demu wake na anampango wakuo na kuzaa watoto .. Cha ajabu ni kipi??

Mbona kuna wanaume wanao vizuri ila mapungufu yao ni kutembe na wana wake wa nje kila siku tena wana tembe na wake wa watu na kufarakanisha ndo zingine .. Hawa hawafanyi zambi??

Au hawazini?? Ukiwa shoga zambi ukiwa malaya nje ya ndoa zambi so zote zambi mwacheni mungu anajua atawafanyaje..

Acheni kuhukumu wakati kuna wengine mmnafanya yakumuuzi mungu kuliko hata huyo Gay.. Mwacheni na mapungufu yake na mungu wake.. Pambaneni na halizenu maisha ya ende..
 
Ivi kwa akili yako shoga anaweza kupinga ushoga
Fikiria2 acha jazba

Patia picha unaipenda CCM, kweli unaweza kuiponda kwenye mitandao eti kisa unaipenda

Kweli hili jukwaa ni kama akili zetu zinaelea na huwezi jua huyu ni nan na yule ni yupi unlike facebook au insta
Sikuzote binadam hutetea upande wake

Naanza kuhisi labda we ni moja wao ko inakuchoma wa2 wakiwaponda, au oneway or another hilo jambo limekukumba
Unambwatukia nani sasa?
 
Unajichoresha2
Akili ndogo za MEMKWA wewe unaelewa kitu gani?

Ndio maana hata mitihani rojorojo kama ya NECTA mnafeli.

MEMKWA + SHULE ZA KATA = rubbish human waste.


Nikikueleza kitu gani utaelewa wewe illiterate??
 
huyo Dogo kapewa samvu lakopo mkuu
sema anakuzuga tu hataki ujue kuwa alimla..
anaona kuwa utamuona kuwa nifarauni mnoo
then hao michicha miba mbona wapo wengi mnoo mkuu ..tena toka kwenye sekta mbali mbali za kuheshimika tu ..yaani wakuta mtu nibaba wa familia anamke na watoto tena anaheshimika na nduguze mpka jamii kwa ujumla lakini ni mchicha mwiba....wengi huwa wanaharibika na shule za boarding ..nyege huwa zinawashinda akili nakujikuta wanasukumiziana mkuyenge...tena hapa dar ndio wamejazana mnooo....agghhh ngoja nisiseme sana ...ile ukweli ndio huo mkuu
 
Akili ndogo za MEMKWA wewe unaelewa kitu gani?

Ndio maana hata mitihani rojorojo kama ya NECTA mnafeli.

MEMKWA + SHULE ZA KATA = rubbish human waste.


Nikikueleza kitu gani utaelewa wewe illiterate??
Naona kazi yako ya utetezi hujaanza leo
27f08a7619726ed4f51780347039a04f.jpg
70d5c9b3972a9612ae2c87a03c8e5bf6.jpg
 
Naona kazi yako ya utetezi hujaanza leo
27f08a7619726ed4f51780347039a04f.jpg
70d5c9b3972a9612ae2c87a03c8e5bf6.jpg
Sasa hapo ulicholeta ni kipi kipya!!??

Haya matoto ya memkwa yasiyokuwa na brain ni waste chafu tu.

Msimamo wangu ni ule ule na haujabadilika.

Foolish!!
 
Ndo maana mazoea ya fastafasta mi siyapendi

Kuna siku nimeenda zangu uwanjan kutulia(UD) baada ya mda flanflan hv akaja bwana mdogo flan hv lainlain flan hv nae anasoma apa chuo kunambia nimpigepige picha
Asee ayo mapozi sasa ya kupiga picha nilichoka, serious mwanaume unapiga picha unainama duh!!
Baada ya apo akawa ananiulizauliza maswalamaswala mengimengi nikamwambia mi sisomi apa ili kutoa uzoefu wa harakaharaka
Baadae anataka kuondoka akaniomba namba
Frsh nikampa
Baada ya apo goodnytgudnyt nyingi na kunitaftatafta kwingi2. Na profile pic za ajabajab2
Siku ananipigia ananambia yuko pekeake niendepo kwake, duh!
Safi.Ila andika vizuri.Acha hizo 2 na mikatomikato.
 
Back
Top Bottom