Nimegundua kwamba mabinti waliosoma au kuishi Ulaya / Marekani wakirudi Tanzania wana kiwango kikubwa cha matatizo ya ndoa

Nimegundua kwamba mabinti waliosoma au kuishi Ulaya / Marekani wakirudi Tanzania wana kiwango kikubwa cha matatizo ya ndoa

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Kutoolewa na wachumba wao, Ni kweli huwa wamo kwenye mahusiano lakini wanaume wanakwepa mno kuwaoa.

Kuchelewa kuolewa,

Ndoa kudumu muda mfupi, hapa mara nyingi sababu huwa ni mwanamke kutaka kuleta mambo ya usawa ule wa ulaya, mfano mwanaume ajipelekee maji ya kuoga bafuni, ajitengenezee chai, ajifulie, n.k. Kutaka uhuru uliopitiliza, anataka hata akiolewa arudi usiku, n.k.

Divorces / kuvunja ndoa kwao wala si ishu

n.k.
 
Kuna mmoja alisoma ud akaenda Scandinavia akarudi akafanyakaz African Union akaenda harvad.

Nikafupi yaani sijui nani atakaoa. Mungu anisamehe ila dah yaani ukioa ujue umeolewa wrwe na vyombo utaosha, tunda utakula kwa ratiba...
Sio kila mwanamke ana ndoto za kuolewa, pia sio kila mwanamke ana ndoto za kuolewa na mwafrika
 
Kutoolewa, huwa wamo kwenye mahusiano lakini wanaume kuna saabu zinafanya wanaume kuruka ndoa

Kuchelewa kuolewa,

Ndoa kudumu muda mfupi, hapa mara nyingi sababu huwa ni mwanamke kutaka kuleta mambo ya usawa ule wa ulaya, mfano mwanaume ajipashie maji ya kuoga, ajitengenezee chai, n.k. Kutaka uhuru uliopitiliza, anataka hata akiolewa arudi usiku, awe na marafiki wa kiume bila bugudha, n.k.

Divorces, Kuvunja ndoa ni kama kusaini kataba wa kuuziana magari

n.k.
UZi wako umenifanya nianze kuwakumbuka wasichana wengi.Nimeona kama kuna ukweli flan hivi.Maana mabinti wengi waliosoma nje pale kijiweni kwetu naona wengine hawajaolewa na wengine ni Single mothers.Halafu wa uanaharakati mwingi.Wengine ni wavuta sigara na ulevi uliokithiri.isipokuwa kichwani wako njema sana.
Tuendelee kuwaombea akili zao zifunguke,na kukombolewa toka kwenye vifungo
 
Naonaga wengine wanajielew zaid wanakuw vzr and smart hawapg viznga kama wakina fatuma ngete
Wameenyooka wanajua maisha nin hvyo

Ila kwa dunia ya sas atakam umeoanjifunz self service kama :-
Kujifulia
Kujiandalia chakula
Kuosha sahan yako


Hao wameandaliw kwaajili ya maisha ya u boyfriend tuu sio kuoga ,
 
Back
Top Bottom