Nimegundua kwamba mabinti waliosoma au kuishi Ulaya / Marekani wakirudi Tanzania wana kiwango kikubwa cha matatizo ya ndoa

Nimegundua kwamba mabinti waliosoma au kuishi Ulaya / Marekani wakirudi Tanzania wana kiwango kikubwa cha matatizo ya ndoa

UZi wako umenifanya nianze kuwakumbuka wasichana wengi.Nimeona kama kuna ukweli flan hivi.Maana mabinti wengi waliosoma nje pale kijiweni kwetu naona wengine hawajaolewa na wengine ni Single mothers.Halafu wa uanaharakati mwingi.Wengine ni wavuta sigara na ulevi uliokithiri.isipokuwa kichwani wako njema sana.
Tuendelee kuwaombea akili zao zifunguke,na kukombolewa toka kwenye vifungo
Wanawake wanaothiriwa zaidi na ndoa za utotoni pamoja na kuwa single mothers wengi ni kutoka familia masikini, za uswazi na mikoa kama ya Lindi na Mtwara.
 
Mkuu wanawake wa sasa hivi sio kama mama zetu na dunia ya leo sio kama ya 1960/70s
Ni majukumu ya asili kwa mwanamke wa kitanzania Kumwekea mwanaume maji bafuni, kumuandalia chai, kumfulia , n.k. haijalishi ni miaka ya 70 au 2024.

Poleni sana mliooa wanawake wanaowaambia mdeki nyumba, muwaandalia chai, muwafulie, n.k.

Mwanamke haolewi kwa kigezo cha wo wo wo ama shepu, hivyo ni vigezo vingine
 
Ni majukumu ya asili kwa mwanamke wa kutanzania Kumwekea mwanaume maji bafuni, kumuandalia chai, kumfulia , n.k. haijalishi ni miaka ya 70 au 2024.

Poleni sana mliooa wanawake wanaowaambia mjiandalie chai, muwafulie, n.k.
Hapana, wanaume wa asili kabisa wa Africa walikuwa wanaogea mtoni tena mara chache sana na chai walikuwa hawanywi.
 
Mbona hata hawa wa English medium na wa kishua tuna wachakaza na kizungu chao cha ugali samaki. Hawana waume na hata akili ya kuwaowa haipo kabisa
 
Ni majukumu ya asili kwa mwanamke wa kutanzania Kumwekea mwanaume maji bafuni, kumuandalia chai, kumfulia , n.k. haijalishi ni miaka ya 70 au 2024.

Poleni sana mliooa wanawake wanaowaambia mjiandalie chai, muwafulie, n.k.
Sawa mkuu.
 
Sijaelewa hapa MTU , unatengewa maji kivipi bafuni kila kitu sikipo huko

Ni vizuri tukajiposition maana dunia inaendeshwa na teknolojia zaidi .

Majiko ya kisasa
Mashine za kufua
Dry cleaner

Nadhani sioni umuhimu wa kumchosha mwanamke wako
 
mfano mwanaume ajipelekee maji ya kuoga bafuni, ajitengenezee chai, ajifulie, n.k. Kutaka uhuru uliopitiliza, anataka hata akiolewa arudi usiku, n.k.
Halafu mwana acha mambo yako mtoto ametoka USA au EU huko shida ya maji haijui yupo kwenye shower au bathtub yake na kufua kwa washing machine leo unataka akufanyie kwa mkono wake🤣🤣🤣
 
Kama wanapanua mapaja wanakung'utwa mjegeje kisha wanashika ujauzito halafu wanazaa inawatoshea, vinginevyo itawalazimu wanate na beat ya ndoa za kiafrika
 
Katika hizo nchi wanawake wanasikilizwa zaidi kuliko wanaume, ndio maana katika hizo nchi, wanawake wamekuwa ni sababu ya kuwafunga wapenzi wao gerezani.
 
Hii kitu ishakuwa global,wanawake wengi wasomi na wenye hela wengi wapo single na wengi wanaumia kutokuwa na mahusiano.

Ukienda Japan wanadai rate ya kudate na kuzaliana imepungua, China kule wana single events ambazo wahudhuriaji wengi ni wanawake wasomi na wenye hela zao. Ukija US na ulaya waandaaji wa Single events wanadai siku hizi wanaume wamekataa kitongoza wanawake, kwani events nyingi wanazo zianda wanatokea asilimia kubwa 90+ni wanawake, wanaume hawaji na events zote wanawake wanao tokea ni wale umri umeenda,wasomi na wenye hela zao.

View: https://m.youtube.com/watch?v=ulUIFi-7Oug&t=486s&pp=ygUnTWlsaW9uYWlyZSBpbiBDaGluYSBsb29raW5nIGZvciBodXNiYW5k


View: https://m.youtube.com/watch?v=JzhFO9p48uY&t=67s&pp=ygUhbWVuIG5vdCBhdHRlbmRpbmcgc2luZ2xlcyBldmVudHMg


View: https://m.youtube.com/watch?v=Izt819ny8ck&pp=ygUhbWVuIG5vdCBhdHRlbmRpbmcgc2luZ2xlcyBldmVudHMg

Tatizo moja la dada zangu anapokuwa msomi,anahela au wadhifa attitude yake kwa mwanaume inakuwa mbovu,labda umkute binti msomi ambaye ameishika dini tokea utotoni na hasa dada zangu wa Kislam wengi huwaga wana nidhamu kwa waume zao pamoja na elimu/hela zao,ila kwa mmewe atampa heshima yake.

Hapo ndipo utakapojua mwanaume awe Mzungu,Muafrika,Muasia,Mlatin anachotaka kwa mwanamke ni heshima na utulivu, hivyo vitu wanawake wengi wasomi,wenye hela na wenye wadhifa hawana.

Ulaya kuna wazungu wapewa aka ya Passport Bros,wao wanaenda kutafuta wake nje ya nchi kama Afrika,Thailand,Philippines nk ambapo huu ujinga usawa wa kijinsia,ufeminist sio mkubwa. Yani wanawake fanya ufanyavyo,ila endapo mwanaume husipo muheshimu tu sababu ya hela,elimu au wadhifa wako wanaume watakukimbia kila siku.
 
Back
Top Bottom