Nimegundua leo: Baadhi ya mikataba mibovu huingiwa kwa makusudi ili tukalipe mahakama ya ICSID, hili la DP World adhabu itakuwa ni bwawa la Nyerere

Nimegundua leo: Baadhi ya mikataba mibovu huingiwa kwa makusudi ili tukalipe mahakama ya ICSID, hili la DP World adhabu itakuwa ni bwawa la Nyerere

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
kuna kila dalili kwamba mikataba mingi mibovu huwa inaingiwa sio kwa bahati mbaya, bali kwa makusudi kabisa, ili akija Rais mwingine au wananchi wakapiga sana kelele, basi mkataba unavunjwa halafu tunapelekwa ICSID.

Kule sasa wanatumwa magoigoi au vibaraka kama akina mkono enzi zike, tunalimwa faini za matrillion halafu watu wanagawana pesa kiulaini sana.

Kwa hili la DPWorld, jinsi sauti zinavyokuwa nyingi wao ndio wanafurahi, maana wanajua kesi ICSID au huko Afrika kusini haioo mbali, na kwa scope ya uwendawazimu uliopo ndani ya mkataba huu wa DPW, bila shaka wamelenga faini ya sio chini ya Trillion 120 kama faini, maana kugomboa nchi iliyouzwa completely sio masikhara, yaani tutalipa pesa ambayo ni kama tunainunua upya Tanganyika toka kwa mwarabu.

Hii pesa italipwa kwa urahisi sana kupitia umeme utakaouzwa nje ya nchi toka Bwawa la Nyerere, ambayo kwa mwaka itazalisha umeme wa kama Trillion 12 hivi, na zitakuwa zikichukuliwa huko huko juu kwa juu. Nadhani itatuchukua kama miaka 10 hivi kubuy back Tanganyika. Mungu atusaidie kwa kweli.


==========================


View: https://youtu.be/psA-SZ59z2M
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri (low thinking capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu. Na ndio maana kama taifa hatuendelei.
 
kuna kila dalili kwamba mikataba mingi mibovu huwa inaingiwa sio kwa bahati mbaya, bali kwa makusudi kabisa, ili akija Rais mwingine au wananchi wakapiga sana kelele, basi mkataba unavunjwa halafu tunapelekwa ICSID.

Kule sasa wanatumwa magoigoi au vibaraka kama akina mkono enzi zike, tunalimwa faini za matrillion halafu watu wanagawana pesa kiulaini sana.

Kwa hili la DPWorld, jinsi sauti zinavyokuwa nyingi wao ndio wanafurahi, maana wanajua kesi ICSID au huko Afrika kusini haioo mbali, na kwa scope ya uwendawazimu uliopo ndani ya mkataba huu wa DPW, bila shaka wamelenga faini ya sio chini ya Trillion 120 kama faini, maana kugomboa nchi iliyouzwa completely sio masikhara, yaani tutalipa pesa ambayo ni kama tunainunua upya Tanganyika toka kwa mwarabu.

Hii pesa italipwa kwa urahisi sana kupitia umeme utakaouzwa nje ya nchi toka Bwawa la Nyerere, ambayo kwa mwaka itazalisha umeme wa kama Trillion 12 hivi, na zitakuwa zikichukuliwa huko huko juu kwa juu. Nadhani itatuchukua kama miaka 10 hivi kubuy back Tanganyika. Mungu atusaidie kwa kweli.


==========================


View: https://youtu.be/psA-SZ59z2M

Wahuni wanaitafuna Tanzania
 
Ila watu wana siri sana
yani haiwezekani jambo la mwaka jana tunalipigia kelele mwaka mmoja na miezi kadhaa mbele 🙌

Screenshot 2023-08-22 012810.jpg
 
kuna kila dalili kwamba mikataba mingi mibovu huwa inaingiwa sio kwa bahati mbaya, bali kwa makusudi kabisa, ili akija Rais mwingine au wananchi wakapiga sana kelele, basi mkataba unavunjwa halafu tunapelekwa ICSID.

Kule sasa wanatumwa magoigoi au vibaraka kama akina mkono enzi zike, tunalimwa faini za matrillion halafu watu wanagawana pesa kiulaini sana.

Kwa hili la DPWorld, jinsi sauti zinavyokuwa nyingi wao ndio wanafurahi, maana wanajua kesi ICSID au huko Afrika kusini haioo mbali, na kwa scope ya uwendawazimu uliopo ndani ya mkataba huu wa DPW, bila shaka wamelenga faini ya sio chini ya Trillion 120 kama faini, maana kugomboa nchi iliyouzwa completely sio masikhara, yaani tutalipa pesa ambayo ni kama tunainunua upya Tanganyika toka kwa mwarabu.

Hii pesa italipwa kwa urahisi sana kupitia umeme utakaouzwa nje ya nchi toka Bwawa la Nyerere, ambayo kwa mwaka itazalisha umeme wa kama Trillion 12 hivi, na zitakuwa zikichukuliwa huko huko juu kwa juu. Nadhani itatuchukua kama miaka 10 hivi kubuy back Tanganyika. Mungu atusaidie kwa kweli.


==========================


View: https://youtu.be/psA-SZ59z2M

Akili za Kvant zilizochangangika na makasiriko zina shida saba.
 
Napingana na hili, tatizo sio mikataba mbovu tatizo ni jinsi mikataba inavunjwa. Mfano mmekubaliana na Acacia kuwa lazima alipe Kodi na mrabaha sahihi akiuza madini, Sasa kama amekiuka masharti mfano kauza Makinikia bila kuleta Mapato sahihi na Kodi stahiki Kuna haja Gani ya kukamata makontena au kuvunja kampuni?

Mnaandaa hoja tu za makosa Yao, mna document Kila nyaraka, Kila kontena lililowahi safirishwa na amount ya pesa iliyopotea sababu ya under valuation ya Makinikia!!

Then huko ICSID au MIGA au ICC unapeleka mawakili serious wanaoweza kujenga hoja na vielelezo. Mbona kesi mnashinda asubuhi tu.

Cha ajabu Sasa Mkataba wa DP World mmeingia CCM wenyewe alafu bahati mbaya say Mpango akiwa Rais ataufuta kwa mbwembwe Tena kwa kutumia JWTZ!! Unadhani hapo hamtolipishwa matrillion??
 
Napingana na hili, tatizo sio mikataba mbovu tatizo ni jinsi mikataba inavunjwa. Mfano mmekubaliana na Acacia kuwa lazima alipe Kodi na mrabaha sahihi akiuza madini, Sasa kama amekiuka masharti mfano kauza Makinikia bila kuleta Mapato sahihi na Kodi stahiki Kuna haja Gani ya kukamata makontena au kuvunja kampuni?

Mnaandaa hoja tu za makosa Yao, mna document Kila nyaraka, Kila kontena lililowahi safirishwa na amount ya pesa iliyopotea sababu ya under valuation ya Makinikia!!

Then huko ICSID au MIGA au ICC unapeleka mawakili serious wanaoweza kujenga hoja na vielelezo. Mbona kesi mnashinda asubuhi tu.

Cha ajabu Sasa Mkataba wa DP World mmeingia CCM wenyewe alafu bahati mbaya say Mpango akiwa Rais ataufuta kwa mbwembwe Tena kwa kutumia JWTZ!! Unadhani hapo hamtolipishwa matrillion??
Kama mkataba sio mbovu, kwanini uvunjwe?
 
Mambo ya Aibu ...hovyooo ..taka takaa
 
Back
Top Bottom