Siyo kweli,huo ni mtazamo fanya utafi wa kutosha..maana wengine wanasema always dr vs nurse, dr vs dr, dr vs mwalimu...
Mind you daktari akikutana na mtu hata kama ni baa at some point ataanza ataulizwa anything to do with health...mara utaskia afadhali kumbe we dr sasa dr nina tatizo....pili u ought to consider the number of people daktaru anainteract nao na ujue wangapi ana fall nao in lov....or the other way round angalia ndaktari kadate watu wangapi then tuone wangapi walikuwa immediate patients wake....mind you dr patient relationship haiishi mgonjwa akipona....wagonjwa wengi wanapenda kukeep in touch with drz just in case akiugua tena in the future asipate shida...then tujiulize how do people fall in lov....tstzo ni kuwa ur argument ina suggest as if simply because ur a patient to a dr therefore u likely to be more confident and eventually fal in lov..its a bit pragmatic
Hata waalimu pia, hasa wa vyuo, huoa wanafunzi wao. Ni hali iliyopo ambayo haizuiliki.Habari wana MMU,.
Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.
Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.
Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.
Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.
Nawasilisha,...
darasa7
Kweli muhimbili maprof wengi wameoa wagonjwa wao kama uhamini kaulize
Hiyo sentensi ya mwisho mbona imepingana na maelezo yako!?? Au ni kimombo mkuu dokta!
BTW hizo huwa stereotypes ama generalizations kama maaskari kuwaoa wanaokujaga vituoni kuleta malalamiko, watuhumiwa or the likes!
Kwahyo wanajeshi watawaoa kina nani?
Jaribu kufanya tena uchunguzi,..
Kwahyo wanajeshi watawaoa kina nani?
Ndio maana nchi zenye vita kuna janga la ubakaji