Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mchunganishi kichuna wangu charminglady, sie tulikutana supamaketi ila yeye anasema eti uwa tunajitwalia wagonjwa sio kweli kabisaaaa,My hezbend C6 hivi mie na wewe tulikutana wapi vile???
Kwamba hawawezi kutongoza wanabaka tu au?
Habari wana MMU,.
Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.
Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.
Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.
Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.
Nawasilisha,...
Me Nina mfano hai!to some extent nakubaliana naeEvery person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa
mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa
mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au
shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu
anajenga imani...as if the only reason to get
narried to someone ni imani....anywsys
sikubaliani na eewewe
huyu mchunganishi kichuna wangu charminglady, sie tulikutana supamaketi ila yeye anasema eti uwa tunajitwalia wagonjwa sio kweli kabisaaaa,
asee wife husahauu japo ni siku mingi zimepitaaaSi nilitka kushangaa, tena pale Imalaseko si eti eeeh!!!
ww je umefanya research kwenye iloSiyo kweli,huo ni mtazamo fanya utafi wa kutosha..maana wengine wanasema always dr vs nurse, dr vs dr, dr vs mwalimu...
asee wife husahauu japo ni siku mingi zimepitaaa
Hata KCMC madaktari wengi wameoa wagonjwa wao pindi wakishapona.
Embu kamilisha tafiti zako na hospitali ya mirembe utuletee ripoti hapa.