Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

Habari wana MMU,.

Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.

Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.

Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.

Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.

Nawasilisha,...

co ajabu coz hata walimu wanaoa wanafunzi wao
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa

mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa
mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au

shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu
anajenga imani...as if the only reason to get

narried to someone ni imani....anywsys
sikubaliani na eewewe
Me Nina mfano hai!to some extent nakubaliana nae
 
Provide factual evidence for this na when you make a sample of Dk. Consult us tutakupatia a better one to use then uje na findingz
 
ngoja nikumbuke nilikutana wapi na mume wangu
 
Usikariri But Kwani Kunatatizo Gani
Mazingra Nayo Yana Changia Mtu Kupata Jiko Lake So Just Normal ,
 
madaktari tafadhalini tusaidieni na majibu katika ilo japo mi na marafiki wawili madaktari mmoja wa kike aliyeolewa na mgonjwa wake ambae alimtibia takribani miaka miwili baada ya kupata ajali na familia yake yote kufa sasa cjui ilikuwa ni huruma au la .... huyo mwingine yeye anahangaika na manesi wake plus wagonjwa wanaojipendekeza kwake
 
Unakula unapolima mkuu,so far everybody ni mgonjwa mtarajiwa
 
Back
Top Bottom