Nimegundua matajiri wengi hapa Tanzania hawajasoma

Nimegundua matajiri wengi hapa Tanzania hawajasoma

Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.

Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.

Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.

Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.

Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.

Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu

Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!

Wengi ni wezi na matapeli,

Msomi kuwa mwizi mara nyingi ni shida labda uingie CCM
 
Elimu versus Akili versus Mafanikio katika maisha.

Unaweza ukasoma sana lakini unaweza ukawa haujaelimika.

Aidha, unaweza kuelimika sana lakini Elimu yako ikawa haijakukomboa katika maisha yako.
Huko duniani vipi? Matsjiri wote wakubwa wamepiga elimu nzito,
Jeff Bezos, mark Zuckerberg, Trump(Baba),
Hata bongo na tajiri waliotengeneza ukwasi, kupitia, elimu, Derm electric, Ali, mfuruki,
 
Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.

Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.

Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.

Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.

Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.

Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu

Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Hata, ukitaka, kuwa ona, waliosoma, utawaona tu, wewe umetafuta ambao hawakusoma,
Ni sawa na kusema, waliopigania Uhuru wa nchi hii ni wa Islam tu, utawataja, Bibi titi, Sykes, Kawasaki, nk, lakini hata wakristo wapo, ukiwatska utawaona,
Au, tuseme walioikuza bongo fleva ni vijana wa ki islam tu, Juma nature, mabaga fresh, Daz nundz, diamond, kiba, nk,
Je wakristo hakuna! LA, hasha Prof j, Mr 2,nandy, nk
It's depends what you want to see
 
Kuwa tajiri huwa haitgemei umesoma au haujasoma

Maana kufanikiwa katika maisha hutegemea na MTU Kuwa na Elimu ya kujitambua "the sense of who you are"

Hivyo MTU anayefanikiwa kujitambua akajua udhaifu wake na uimara wake ulipo anaweza kutoboa ktk maisha hata Kama hajasoma.

Hapa duniani ukiwa unajitambua to the fullest kuna speed unakuwa nayo katika kuelekea kufanikiwa.
Mkuu umesomeka kinoma noma asee
 
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

Kinachostahili kuwekwa ni mfumo, ukiangalia duniani, working class au middle income class wengi ni elites kutokana na professional works

Ukiangalia pia, nchi hizo zimeweka mifumo thabiti kiasi kwamba kila mwenye potential, iwe ya darasani au si ya darasani anatoboa..

Mfano leo hii msanii kama Michael Jackson, pesa anayoiingiza akiwa amelala kaburini inaweza kulea beneficiaries wake pasipo wao kufanya kazi.

Hao kina Mark, bill gates au elon, wote wanafanikiwa kwa sababu patent system ipo vizuri.. Njoo huku kwetu

Leo msomi akifanya invention, anafaidikaje nayo

Kina kanumba au Ngwair, Leo kazi zao zinafaidishaje familia zao

The issue is, katika nchi ambayo brains zinazoiendesha zinawashauri wasomi kutofikiria au kufanya makubwa zaidi ya kwenda kwenye kilimo cha jembe la mkono. Matajiri gani wanaweza kuzalishwa

Issue hii ni pana brother but in reality, mifumo kwa Tanzania hakuna ndio maana hata private sector inachechemea. Na bila private sector kubwa, matajiri watapatikana wapi brother??
Hapa mnavyozungumzia mfumo kalaga baho huwq napaelewa kichizi yani ✍️

Cc. Shimba ya Buyenze Lamomy
 
Utajiri wa Tanzania hauhusiani na taaluma wala teknolojia. Unapatikana kwa janjajanja nyingi, utapeli, ukwepaji kodi, connection za serikali, ndumba (kwa wanaoamini) na vitu aina hiyo. Haufundishiki. Kipaji asilia ndicho kinahitajika.

Shule haihitajiki wala hauwezi kurithishwa kikawaida. Labda kwa zindiko. Hauna value-added kwa jamii. Ni kama uganga wa kienyeji au uchawi. Tuseme ni kipaji asilia. Matajiri wamejaa bungeni; hawatoki kirahisi ila kwa fitna.
Afrika nzima mkuu matajiri wqke hawana definition ya kueleweka. Mostly wana historia ya kufanya vitu uncertainly. Mtu kaingia siasan tu mara paap kawa bilionare. Kuna wemgine siku hizi wanapambana kushika millions wakizipata wqnaingia siasani paaap wanakuwa matrilionea kabisaaa
 
Tutaongea kila kitu ila hadi sasa ELIMU HAINA MBADALA. Bila elimu hii dunia ingekuwa sehemu ya hovyo mno. Kudanganyika na hawa matajiri wetu wanaofanya uchuuzi ni kupoteza muda na mwelekeo wa Taifa zima. Na nyuma ya matajiri wengi kuna wanasiasa mafisadi. Kama hujasoma nenda kasome au somesha watoto wako. Maskini wa kutisha wengi wao wana elimu duni ya darasa la 7 kushuka chini.
 
Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.

Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.

Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.

Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.

Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.

Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu

Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Hata hivyo wengi wamesoma kuhusu elimu ya ujasiriamali hawajasoma namna ya kufanya biashara, in entrepreneurship we learn how to do business not about business yaani tunajifunza jinsi ya kufanya biashara siyo kuhusu biashara
 
Back
Top Bottom