Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Nimecheki WhatsApp picha ya msela kakomaaa π na mtoto mdogo pembeni?!Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.
Awezeshwe dushe hilo amdhibiti mumewe asitoke nje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji mzima?!
HahahahahaNimecheki WhatsApp picha ya msela kakomaaa π na mtoto mdogo pembeni?!
Mume mwenyewe ndio yule au?!
Nimetuma txt hajajibu
Last seen 23:52
We hayakuhusu, tumekusanyika ardhini au Juu ya Dari bado haikuhusuSijaelewa.. corona hii bado mnakaribisha watu ndugu na majirani (huyo babu sijui unamtakia mema gani) alafu unakuja kusema huyo dada akatoa picha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe dada stori hii ni ya uongo kabisa.. mwanamke aliyevishwa pete juzi tu awezi kuongea privacy za ndan Kama hizo public kwa mama jikoni.. huo ni uongo completely yaani
So alitembea na picha kabisa sababu anajua ulimualika Nyumbani eti?
CHAI
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseemada kama hizi huleta mada nyingine kama hizi ila jinsia itakuja ibadilike
Eti ee?!Kama video sawa ila kama ni picha tu wala asiamini mbona ni kazi ndogo sana kutengeneza picha kama hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzio wanakataa wanasema picha imeeditiwaππNo way ni kumuacha tu. ..
Ila wapambe nuksiiii. ..bora wamemwokoa mapema
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
WiFi, nimeona kuna Uzi mmoja kuna MTU amekutag anasema kwanini wadada WA Jamii forum hawaolewi alafu akakutagNo way ni kumuacha tu. ..
Ila wapambe nuksiiii. ..bora wamemwokoa mapema
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Komaa si mnapenda visharobaroJana, nilisheherekea siku ya kuzaliwa ya Baba yangu Mzazi, tukaalika ndugu, jamaa na familia wa karibu kuja kumpongeza Mzee wetu
Katika kupika pika kule jikoni Akina mama sie, msichana mmoja akafunguka Kwa machozi mengi tukabakia na mshangao kwasababu NI Bibi harusi mtarajiwa,
Bibi Harusi: jamani Mimi nazidi kuchanganyikiwa mwenzenu, najua nimevishwa Pete j2 iliopita lakini juzi amenifuata Mesenja ofisini, akaniambia saini hapa nikasaini akaondoka..
Kufungua na kuangalia nakuta picha za mchumba wangu, anafanya Mapenzi na mwanaume mwenzake, tena anachekeleeea kabisa.
Nilitapika pale pale, sikula siku 3 nimelia Sana, sijamwuliza mpaka sasa mchumbangu, akipiga simu naongea nae kama hamna kitu, akitaka tuonane namkwepa namwambia corona mpaka leo Birthday ya Babu, nimeona nisipoongea ntakufa[emoji1784][emoji856][emoji855]
Nifanyaje?! Mume wangu mtarajiwa NI Bwabwa(shoga)?!
Akatoa picha kwenye pochi akaziweka mbele yetu tukahakikisha kabisa.[emoji125][emoji125][emoji125]
Doh kweli bwana! MKWE NI Bwabwa, tena anatulizwa na jamaa amejazia kweli kweli kama wale ma bouncer wa kwenye makumbi ya starehe kama disco[emoji123]
jamani mpeni ushauri biharusi mtarajiwa, akae au atembee [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mlete kwangu nimpepeeeπππJana kuna mtu alitunga story ya ki Abu-Nuasi watu wakamuuliza uba undugu na money penny? Sasa nilikua sijajua walimaanisha nn kumbe ndo hivi
Sent using Gun Trigger
Mhindi kamfukunyukua makalio?! ππππBila shaka, mana niliona kale kauzi anasema ameliwa na mhindi kimasihara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo hao watu hawezi kuelect mpaka abustiwe na mtu akishabustiwa ndio anaelect alafu anajiona kidume kwa mwanamke wake huko kumbe ni Juma lokole tu.Me kinachonishangaza NI kimoja Tu
Mpaka unaenda kuolewa ina maana ulisha-du na Huyo bwana
Katika ku-du kwao hakujua kuwa ni Bwabwa?!
Au mabwabwa wanaweza changanya kote, Wana TOA huduma Kwa wanawake na wanaume?! π
Nisaidie Kwa Hilo plzππππ