Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamuoa?! 🏃🏃🏃🏃🏃mwambie aje kwangu..nimpe furaha ya moyo...
Then why are you here?! 😂😂😂😂😂
Hawajaufuta wameufreezUnaweb 😳 embu nitajie nataka nione unacho entertain huko 😂😂 ule uzi ulikuwa hauna maadili ndio maana ulifuatwa 😂😂😂😂
Nitakupa shangazi yangu akupime urijali Kwanza😂😂😂😂Huo mkao wako kwenye avatar huwa unaniacha hoi kabisaaaaaa😋😋😋😋😋😋
Utamuoa?! 🏃🏃🏃🏃🏃
Nitakupa shangazi yangu akupime urijali Kwanza😂😂😂😂
Tisher Sana sasa kule KWa shangazi ukipelekwa utakubali?!kabisa nitamuowa kama tutaeleana na kuendana na matarajio yetu...kama huyo mwana ni punga ajiandae kupata mume mwenza
kwashangazi hapana..siwezi hayo mambo mimi...kama ni yeye na akuje tuuuu....tuyajenge..Tisher Sana sasa kule KWa shangazi ukipelekwa utakubali?!
Wataenda kuolewa Kwa waganda Kwa akina banyankolesasa kama wanawake wanatamani kuolewa na wanaume wapo wachache ..na katika hao wachache wengi wao ni mapunga ..sijui dunia inaelekea wapi???????????
Sawa nadhan mawasiliano umeyapatakwashangazi hapana..siwezi hayo mambo mimi...kama ni yeye na akuje tuuuu....tuyajenge..
huko nako wanawake wako wengi kuliko wanaumeWataenda kuolewa Kwa waganda Kwa akina banyankole
Si kweliMwambie akasomee utawa tu siku hizi hamna wanaume halisi waoaji wapya wote ni mabwabwa tu
Sawa nadhan mawasiliano umeyapata
mubebe mbabe upooo???????????