Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #141
Na tendo la ndoa je??Aolewe tu..kikubwa ndoaπ
#kiatukinabana
We unazingua uyo rafik ako hajasema kama amewahi kuchapwa nao na huyo bwabwa...ndo mazala ya kusubiri mpaka ndoa...Mwambie akasomee utawa tu siku hizi hamna wanaume halisi waoaji wapya wote ni mabwabwa tu
watakuwa wanasagana na mumeweNa tendo la ndoa je??
Nakuona binamu,
Walokole wanasema msizini mpaka ndoaWe unazingua uyo rafik ako hajasema kama amewahi kuchapwa nao na huyo bwabwa...ndo mazala ya kusubiri mpaka ndoa...
Sasa chakufanya we kiachie wanaume tukipakue kwanzaa ili tujue unafaa au ndo magogo kama magogo mengii alafu utaona kama uyo rafik ako na shoga ake watawaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu Kristo ππππwatakuwa wanasagana na mumewe
Roho unaniumaga Sana nikiona post ya hivi .....tena hadharaniMwambie akasomee utawa tu siku hizi hamna wanaume halisi waoaji wapya wote ni mabwabwa tu
hata najua basi!!! ..nimejikuta nimechangia tu...Unamjuaje?!
Hizi koment hazina afya kabisa, km umeoa ama kuolewa na unawatoto hii comment haifai,,km una plan ya kufanya kati ya hvyo basi hii comment haifai. Mabwabwa wapo ila siyo wote.Mwambie akasomee utawa tu siku hizi hamna wanaume halisi waoaji wapya wote ni mabwabwa tu
Hilo Sasa atajua muolewaji.Na tendo la ndoa je??
Kwahiyo unamsaidiaje biharusi?!πππRoho unaniumaga Sana nikiona post ya hivi .....tena hadharani
Sio anunue Dildo la kiume ambust mumewe?!πππAvunje huo uchumba mapema. Hakuna ndoa hapo wote wanawake. Ndoa ni kati ya mtu mume na mtu mke.